HIKAYA ZA BAHLUL MWENYE BUSARA
KIMEKUSANYWA NA KUTARJUMIWA NA: AMIRALY M. H. DATOO
Katika kuona haja ya kupata nasiha na mawaidha nimeonelea vyema kutumia mbinu hii ya kuchapa nasiha na mawaidha katika sura ya hekaya za Bahlul. Kwani maisha yake yanatuchekesha na kutu furahisha papo hapo tunapata mafundisho ndani mwake. Vile vile nimekikusanya na kukitarjumu kitabu kimoja chenye masimulizi na hadithi zilizopo katika Qur'an Tukufu. Hivyo ni matumaini yangu kuwa vitabu hivi na vingine vitatusaidia sisi sote katika kulenga maisha yetu vile ipasavypo.
Amiraly M.H.Datoo 28 Safar 1423
P.O.Box 838, 11.5.2002
BUKOBA
Tanzania.
datooam@hotmail.com