• Anza
  • Iliyopita
  • 9 /
  • Inayofuata
  • Mwisho
  •  
  • Pakua HTML
  • Pakua Word
  • Pakua PDF
  • Matembeleo: 15763 / Pakua: 4537
Kiwango Kiwango Kiwango
USUULID DIIN

USUULID DIIN

Mwandishi:
Swahili

1

MAREJEO 1- Mlango 19, uk. 234

2- Uk. 17

3 -Uk. 222

12 Uk. 161

4-Juzu 1, Uk. 39

5 - Juzu 1, Mlango 54

6 -Juzu 2, uk. 173, 177 na 244

7 -Uk. 95, chapa ya Iraq

8 -Juz 3, uk. 161

9- Uk. 459

10- Uk. 36

11 -Uk. 15

12- Uk. 161

13 -Sawaiqul-Muhriqa Ibn Hajar uk. 108

14 -Riyadhun Nadhra J. 2 163/244.

15 -Kifaayatut-Taalib cha Al-Kanji Ash-Shafii uk. 127, Tarekh Ibn Asaakir, Arjahul-Mataalib cha Ubaidullaah Al-Hanafy uk. 309

16 - (a) Manaaqib cha Al-Khowarazmi, uk. 59

(b) -Maqtalil Husein cha Al-Khowarazmi, J. 1, uk. 45

(c) -Sawaiqul Muhriqa cha Ibnu Hajar, uk. 68/78

(d) -Suyooti Ash-Shafiy, Tareekhul Khulafaa J. 1, uk. 66

17 -Saheeh Bukhari J. 14, uk. 387 na J. 18, uk. 89, Saheeh Muslim J. 2, uk. 278 Jeme'a Tirmizi uk. 461. Isabah J. 4, uk. 270, Usdul-Ghaba J. 4, uk. 25 Izalatul-Khifa M. 2, uk. 260-261. Riadhun-Nadhra J. 2, uk. 188 na 203. Musnad I. Hambal J. 1 uk. 330. Sunan Ibne-Majah uk. 12 Mishkat J. 8, uk. 119. Jam'a Sagheer uk. 56 Mustadrak J. 2, uk. 337 na J. 3, uk. 19. Musnad Imaam Hambal J. 1, uk. 170, 173, 175, 179, 182, 184 na 331; na J. 3, uk. 32 na 338; na J. 6 uk. 369 na 438.

18 - (a) Kanzul-Ummal, J. 6 Uk. 393/395

(b) -Manaqib cha Kharazmi Uk. 32.

(c) -Ibnu Asakir katika Tarekh w. 16.

(d) -Askafi katika Naqdh Uthmaniyah al-Jashidh Uk. 21 kimepigwa chapa Misri.

19 - (a) Yanaabee-ul-Mawadah, J. 1 Uk. 249.

(b)- Khowarazmi, Al-Manaaqib, Uk. 18

(c) -Al-Kanji Ash-Shafiy, Kifaayatu Talib, Uk. 123.

20 - (a) -Suyootee katika Tareekh J. 1, Uk. 56.

(b) -Tirmizi Hanafy katika Al-Kaukabud-Durry, Uk. 131.

21 - (a) -Tabari katika Dhakaairul Uqba, Uk. 89/91

(b) -Al-Kanji katika Kifaayatut-Taalib, Uk. 76.

(c)-Ali Al-Muttaqi katika Kanzul-Ummal J. 6, Uk. 159.

(d) -Khowarazmi katika Manaaqib

(e)- Riyadhun-Nadhra J. 2, Uk. 211.

22 - As-Sawaa-qul-Muhriqa, Uk. 78

23 - Riyadhun Nadhra Juzu 2, uk. 98

24 -Tareekhul Khulafaa Juzu 1, Uk. 66

25 -Al-Ishaab, Juzu 2, Uk. 484

26 - Dhakhairul-Uqba, Uk. 82

27 - Tadh-kira Khawaa-Sul-umma (Chapa ya Iran) Uk. 87.

28 -Uk. 14, 118 na 127

29- Kifaa-Yatut-Taalib, Uk. 130.

32 -Juzu 2, Uk. 198

30 - Al-Fussoolul-Muhim-ma, Uk. 17

31 - Kifaa-yatut-Taalib, Uk. 140

32 -Juzu 2, Uk. 198

YALIYOMO

FADHILA ZA SAYYIDNA ALI (A.S) FADHILA ZA SAYYIDNA ALI (A.S)2

HADITHI YA KWANZA 2

HADITHI YA PILI 3

HADITHI YA TATU 5

HADITHI YA NNE 5

HADITHI YA TANO 6

HADITHI YA SITA 6

HADITHI YA SABA 6

HADITHI YA NANE 6

HADITHI YA TISA 7

HADITHI YA KUMI 7

HADITHI YA KUMI NA MOJA 8

HADITHI YA KUMI NA MBILI 9

HADITHI YA KUMI NA TATU 10

HADITHI YA KUMI NA NNE 10

HADITHI YA KUMI NA TANO 11

HADITHI YA KUMI NA SITA 11

HADITHI YA KUMI NA SABA 11

HADITHI A KUMI NA NANE 12

HADITHI YA KUMI NA TISA 13

HADITHI YA ISHIRINI 14

HADITHI YA ISHIRINI NA MOJA 14

HADITHI YA ISHIRINI NA MBILI 16

HADITHI YA ISHIRINI NA TATU 18

HADITHI YA ISHIRINI NA NNE 19

HADITHI YA ISHIRINI NA TANO 20

HADITHI YA ISHIRINI NA SITA 25

HADITHI YA ISHIRINI NA SABA 26

HADITHI YA ISHIRINI NA NANE 27

HADITHI YA ISHIRINI NA TISA 27

HADITHI YA THELATHINI 28

HADITHI YA THELATHINI NA MOJA 29

HADITHI YA THELATHINI NA MBILI 30

HADITHI YA THELATHINI NA TATU 31

HADITHI YA THELATHINI NA NNE 31

HADITHI YA THELATHINI NA TANO 32

HADITHI YA THELATHINI NA SITA 34

HADITHI YA THALATHINI NA SABA 34

HADITHI YA THELATHINI NA NANE 36

HADITHI YA THELATHINI NA TISA 36

HADITHI YA ARUBAINI 37

HADITHI YA AROBAINI NA MOJA 38

HADITHI YA AROBAINI NA MBILI 38

HADITHI YA AROBAINI NA TATU 40

HADITHI YA AROBAINI NA NNE 40

HADITHI YA AROBAINI NA TANO 42

HADITHI YA AROBAINI NA SITA 44

HADITHI YA AROBAINI NA SABA 45

HADITHI YA AROBAINI NA NANE 46

HADITHI YA AROBAINI NA TISA 47

HADITHI YA KHAMSINI 48

VITABU VILIVYOPOKEA HADITHI ZILIZONAKILIWA MWENYE KITABU HIKI (1) Tafseer cha Thalabi; (430 A.H.)

(2) Tafseer Kash-shaaf; Zamakh-shari (528 A.H.)

(3) Tafseer cha Nishapuri

(4) Tafseer cha Muhammad bin Saaib Al-Kalbi

(5) Tafseer Libaabut Taaweet wa Maanil anzeel; Khazn

(6) Tafseer Madarikut Tanzeel wa Hakaaikut Taweel

(7) Tafseer Ad Darrul-Manthoor; Jalaalud-Deen Suyooti

(8) Saheeh Al-Bukhari

(9) Saheeh Muslim

(10) Sunan Ibnu Maajah Al-Qazwini

(11) Sunan Abi Yaala

(12) Sunan Ad-Daar Qutni

(13) Kanzul Ummal; Ali Muttaki Al Hanafi

(14) Mustadrak-Saheehain; Al-Hakim Nishapuri

(15) Muntakhab Kanzul Ummal; iliyoko pembezoni mwa kitabu cha Musnad cha Ahmad bin Hanbal

(16) Masabeehus-Sunna; Baghawi

(17) Musnad; Ahmed bin Hanbal

(18) Musnad; Abi Daud Al-Tayaalisi

(19) Musnad; Abi ya'laa Al-Moosali

(20) Al-Mujamul-Kabeer; Tabarani

(21) Usdul Ghabah fi Maarifatis Sahaba; Ibnul Atheer Ash-Shafii (630 A.H.)

(22) Is-aafur-Raaghibeen, Ibnu Sabbaan-Sahfii

(23) Al-Isteeab; Ibn Abdil-Bar Annamry; (463 A.H.)

(24) Al-Isaba fi Tamyeezis Sahaba; Ibnu Hajar Al-Askalani; (863 A.H.)

(25) Jaami Tirmiz

(26) Khasasi Ahmad bin Shueib Annasai Ash-Shafii; (303 A.H.)

(27) Tabakaat; Ibnu Saad

(28) Firdausul Akhbaar; Ad-Daylami

(29) Faraidus-Simtain; Ibrahim bin Muhammad Al-Hamwini Ash- Shafii

(30) Al-Fusoolul Muhimma; Ibnu Sabbagh-Al-Maliki

(31) Kunoozul Hakaik, Abdurrauuf Al-Manawi Ash-Shafii (1031 A.H.)

(32) Kifaayatut-Taalib, Al-Kanji Ash-Shafii

(33) Al-Kaukabud-Durri; Sayyid Muhammed Saleh Al-Tirmizi Al-Haanafi

(34) Al-Kuna; Al-Hakim

(35) Manaakib; Al-Muwaffak bin Ahmad Al-Khwarazmi Al-Hanafi (865 A.H.)

(36) Manaakib; Ibnu Maghazili Ash-Shafii (483 A.H.)

(37) Maktalul Husein (a.s.); Al-Muwaffak bin Ahmad Al-Khwarazmi Al-Hanafii

(38) Mawaddatul Kurba; Sayyid Ali Al-Hamdani Ash Shafii

(39) Al-Ikdul Fareed; Ibnu Abdi Rabbih

(40) Al-Gheelaaniyaat, Abi Bakr Ash-Shafii

(41) Arjahul Mataalib; Ubaidullah Amristary Al-Hanafii

(42) Al-Ithaaf Behubbil Ashraak Sheikh Abdullah Shabrawi As-Shafii

(43) Al-Alkaab; Ahmad bin Abdurrahman Shirazi

(44) Al-Bidaya Wannihaya; Ibnu Katheer Ad-damashki (774 A.H.)

(45) Tareekhul khulafa; Jalaalud-Deen Assuyooti; (911 A.H.)

(46) Tareekhul Kabeer; Ibnu Asaakir; (571 A.H.)

(47) Tareekhul Kaamil; Ibnu Atheer Aljuzary; (606 A.H.)

(48) Tareekh Baghdad; Al-khateeb Al-Baghdad

(49) Tareekh Baghdad; Ibnu Najjar

(50) Tareekh Attabari Al-Kabeer; Abi Jaafar Ibnu Jareer: (310 A.H.)

(51) Tadhkiratu Khawaasil Umma: Sibt Ibni Jauzi Al-Hanafi (654 A.H.)

(52) Hilyatul Awliyaa; Abi Naeem Al-Isfahani (530 A.H.)

(53) Khulaasatul Manaakib

(54) Dhakairul Ukba; Muhibbuddeen At-Tabari (695 A.H.)

(55) Ar-Riyaadhun Nadhra; Muhibbuddeen At-Tabari Ash-Shafii

(56) Rashfatus-Saadi; Sayyid Shahaabud-Deen Abi Bakr Ash-Shafii

(57) Assawaikul Muhrika; Ibnu Hajar Al-Haytami Ash-Shafii

(58) Al-Masheekhatul Baghdaadiya; Al-Hafidh As-Salafi

(59) Nuzhatul Majalis; As-Safoori Ash-Shafii

(60) Wafayaat-ul-Aayaan; Ibnu Khallikan Ash-Shafii

(61) Yanaabee-ul-Mawaddah Shaikh Suleina Al-Kanduzi Al-Hanafii (1294 A.H.)

FAHARASA YA MANENO YALIYONENWA NA MTUKUFU MTUME WETU (S.A.W.W.) (1) Kauli ya Mtume (s.a.w.w.); hatavuka Sirati yeyote isipokuwa aliyeandikiwa ruhusa na Ali.

(2) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni mgawaji wa Pepo na Moto

(3) Kauli yake (s.a.w.w.); kuangalia uso wa Ali ni Ibada

(4) Kauli yake (s.a.w.w.); mfano wa Ali katika Umma huu ni mfano wa Kaaba

(5) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwangalia Ali ni Ibada

(6) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni mlango wa elimu yangu na mwenye kuwaeleza umma wangu madhumuni ya kuletwa kwangu (duniani na Mungu).

(7) Kauli yake (s.a.w.w.); Kumwangalia Ali ni rehema, mapenzi na ibada

(8) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenyezi Mungu amemjalia ndugu yangu Ali kuwa sifa na vyeo visivyohisabika.

(9) Kauli yake (s.a.w.w.); Kumkumbuka na kumdhukuru Ali ni Ibada

(10) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali kwangu ni kama nilivyokuwa mimi kwa Mwenyezi Mungu.

(11) Kauli yake (s.a.w.w.); kwamba Ali ni mpole kwa Umma na mwenye subira mno.

(12) Kauli yake (s.a.w.w.); kwamba Ali anapendwa zaidi naye kuliko mtu yeyote.

(13) Kauli yake (s.a.w.w.); gao langu na la Ali katika uadilifu ni sawa.

(14) Kauli yake (s.a.w.w.); Mimi niko katika suluhu na yule atakayekuwa na watu wa hema hii.

(15) Masahaba walikuwa na sifa kumi na nane na katika hizo Ali alikuwa na sifa kumi na tatu ya pekee na kashirkiana nao katika tano zilizobaki.

(16) Kauli yake (s.a.w.w.); wewe kwangu kama alivyokuwa Harooni kwa Musa.

(17) Kauli yake (s.a.w.w.); ya kuonekana imani ya Ali kuwa mbora zaidi kuliko watu wote wa mbinguni na ardhini.

(18) Kauli ya Umar kwamba Ali amepewa sifa tatu ambazo ningalipata walau mojawapo ingalikuwa kwangu bora kuliko ngamia wekundu.

(19) Kauli ya Mtume (s.a.w.w.); Lau bahari ingaligeuka wino na miti kuwa kalamu isingaliwezekana kuandika sifa zote za Ali Bin Abi Talib (a.s.)

(20) Kauli yake (s.a.w.w.); Ewe Ali mkono wako utakuwa katika mkono wangu utapoingia Peponi nami.

(21) Kauli yake (s.a.w.w.); Huyu Ali ni ndugu yangu hapa duniani na kesho akhera.

(22) Kauli yake (s.a.w.w.); Hakuchuma mchumaji wa aina yeyote kama alivyokuwa nayo sifa Ali (a.s.)

(23) Kauli yake (s.a.w.w.); Hakuna sahaba yeyote aliyekuwa na sifa kama za Ali (a.s.)

(24) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenyezi Mungu amewaumba Malaika kutokana na nuru ya Ali (a.s.).

(25) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenyezi Mungu katika mbingu ya nne amemwumba malaika katika sura na mfano wa Ali (a.s.)

(26) Kauli yake Umar (R.A.) Ali tu ndiye mwenye ujuzi wa kuhukumu.

(27) Kauli yake (s.a.w.w.); kwamba Ali ni mjuzi zaidi wa kuhukumu kuliko watu wa Madina.

(28) Alikuwa Umar (R.A.) akiomba kwa Mwenyezi Mungu amwepushe kwenye dhiki wakati ambapo Ali hayupo.

(29) Kauli ya Umar (R.A.) kusema Ewe Mola wangu usinishushie dhiki yoyote ila akiwapo Ali (a.s.).

(30) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ndiye mwamuzi asiokuwa mfano na anavyoamua yeye ndiyo sawa.

(31) Uthibitisho wa Al-Kanji As-Shafiiy kuwa Ali ni mwenye elimu kuliko wote.

(32) Maamuzi ya Ali (a.s.) kuhusu mabedui wawili.

(33) Kauli ya Umar (R.A.) Ali ni bwana wangu na bwana wa kila mwenye kuamini na anayo mamlaka juu yetu sote.

(34) Kutia adabu na Umar (R.A.); mwenye kumbugudhi Ali.

(35) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali anatokana nami na mimi ninatokana na Ali.

(36) Kauli yake,(s.a.w.w.); kumwambia Buraydah usimbughudhi Ali (a.s.).

(37) Kauli yake (s.a.w.w.); Msimseme Ali.

(38) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni (Bwana) mwenye mamlaka juu yenu baada yangu.

(39) Muhtasari wa kisa cha Ghadeer.

(40) Kauli ya Umar (R.A.): Nilimsikia Mtume (s.a.w.w.); akitaja sifa tatu za Ali (a.s.).

(41) Kisa cha kutekwa kwa Khaybar kwa mikono ya Ameerul Mumineen Ali (a.s.)

(42) Hadithi ya kisa cha Ghadeer kwa maelezo ya Umar (R.A.)

(43) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwambia Ali (a.s.); wewe kwangu kama alivyokuwa Haruni kwa Musa.

(44) Kumwamrisha Ali kufikisha sura ya Bara-at kwa Makureshi wa Makka.

(45) Kisa cha kufungwa milango yote ifungukayo ndani ya Msikiti, na. ushindi wa Khaybar, na hadithi ya Ghadeer na hadithi ya Manzila.

(46) Kauli yake (s.a.w.w.); Laiti wangekusanyika watu wote kumpenda Ali (a.s.) asingaliumba Mwenyezi Mungu Moto (Jahanam).

(47) Kauli yake (s.a.w.w.); Ewe Ali, mwenye kukupenda wewe atakuwa pamoja na Mitume siku ya Qiyama.

(48) Mazungumzo ya Umar pamoja na Ibnu Abbasi kuhusu Khilafa (ukhalifa).

(49) Kauli ya Umar (R.A.) haukamiliki utukufu bila ya kumpenda Ali (a.s.).

(50) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenyezi Mungu amewaumba malaika kwa nuru ya uso wa Ali (a.s.).

(51) Kauli yake (s.a.w.w.); Hasan na Husain ni viongozi wa vijana wa Peponi.

(52) Kauli yake (s.a.w.w.); Mbora wa wanaume wenu ni Ali Bin Abi Talib.

(53) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni mbora wa viumbe na mwenye kukataa hayo amekufuru.

(54) Kauli yake (s.a.w.w.); Mbora wa wote walio juu ya ardhi baada yangu ni Ali Bin Abi Talib (a.s.).

(55) Kauli ya Ibnu Umar, Ali ni katika Ahlu-Bait ambaye cheo chake hakikisiwi na mtu yeyote.

(56) Kauli yake (s.a.w.w.); Sisi Ahlul-Baiti hakisiwi mtu yeyote nasi.

(57) Kauli yake (s.a.w.w.); Huyu (anamkusudia Ali) ni Bwana (mwenye Mamlaka) wenu baada yangu humu duniani na Akhera.

(58) Kauli yake (s.a.w.w.); Hakika Ali anatokana nami na mimi ninatokana naye.

(59) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwambia Ali, wewe ndugu yangu hapa duniani na kesho Akhera.

(60) Kauli yake (s.a.w.w.); mwenye kumwacha (asimfuata) Ali ameniacha mimi.

(61 ) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali wewe utakwenda Peponi.

(62) Kuhusu wale wanne wataoingia Peponi.

(63) Imani ya Ali (a.s.) kuwa na uzito zaidi kuliko mbingu na ardhi.

(64) Kauli ya Abdullah bin Umar kusema; Ali anayo mambo matatu, ninatamani niwe nao mojawapo.

(65) Kuonana kwa siri Ali (a.s.) na Mtume (s.a.w.w.); na Ali kutoa sadaka alivyoamrisha Mwenyezi Mungu.

(66) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenye kumpenda Ali Mwenyezi Mungu atamkubalia swala na saumu yake.

(67) Kauli yake (s.a.w.w.); kuwapenda Aali Muhamad (dhuriya wa Mtume) siku moja tu ni bora kuliko ibada ya mwaka mmoja.

(68) Kuzungumza Mwenyezi Mungu na Mtume (s.a.w.w.) usiku wa Miraji kwa lugha (sauti) ya Ali.

(69) Kauli yake (s.a.w.w.); Nalikuwa Mimi na Ali mbele ya Mwenyezi Mungu kabla ya kumwumba Adam (a.s.).

(70) Kauli yake (s.a.w.w.); Kumwambia Ali, 'wewe ni ndugu na waziri wangu'.

(71) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenye kupenda aishi maisha yangu na kufa kwangu) basi ampende na kumfuata Ali.

(72) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwambia Aisha kwamba Ali ni Bwana wa Waarabu.

(73) Kauli ya Aisha kwamba Ali ni bora wa viumbe hatilii shaka juu ya jambo hilo ila kafiri.

(74) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni bora wa viumbe.

(75) Kauli ya Aisha, "Hakumwumba Mwenyezi Mungu aliye mpenzi zaidi kwa Mtume (s.a.w.w.) kuliko Ali (a.s.).

(76) Kauli ya Aisha kwamba: Ali alikuwa mpenzi mno wa Mtume kuliko watu wote.

(77) Kauli ya Aisha, "Kwamba Ali ni karibu zaidi katika huba kwa Mtume (s.a.w.w.) kuliko watu wote.

(78) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwangalia uso wa Ali (a.s.) ni ibada.

MAREJEO 1- Mlango 19, uk. 234

2- Uk. 17

3 -Uk. 222

12 Uk. 161

4-Juzu 1, Uk. 39

5 - Juzu 1, Mlango 54

6 -Juzu 2, uk. 173, 177 na 244

7 -Uk. 95, chapa ya Iraq

8 -Juz 3, uk. 161

9- Uk. 459

10- Uk. 36

11 -Uk. 15

12- Uk. 161

13 -Sawaiqul-Muhriqa Ibn Hajar uk. 108

14 -Riyadhun Nadhra J. 2 163/244.

15 -Kifaayatut-Taalib cha Al-Kanji Ash-Shafii uk. 127, Tarekh Ibn Asaakir, Arjahul-Mataalib cha Ubaidullaah Al-Hanafy uk. 309

16 - (a) Manaaqib cha Al-Khowarazmi, uk. 59

(b) -Maqtalil Husein cha Al-Khowarazmi, J. 1, uk. 45

(c) -Sawaiqul Muhriqa cha Ibnu Hajar, uk. 68/78

(d) -Suyooti Ash-Shafiy, Tareekhul Khulafaa J. 1, uk. 66

17 -Saheeh Bukhari J. 14, uk. 387 na J. 18, uk. 89, Saheeh Muslim J. 2, uk. 278 Jeme'a Tirmizi uk. 461. Isabah J. 4, uk. 270, Usdul-Ghaba J. 4, uk. 25 Izalatul-Khifa M. 2, uk. 260-261. Riadhun-Nadhra J. 2, uk. 188 na 203. Musnad I. Hambal J. 1 uk. 330. Sunan Ibne-Majah uk. 12 Mishkat J. 8, uk. 119. Jam'a Sagheer uk. 56 Mustadrak J. 2, uk. 337 na J. 3, uk. 19. Musnad Imaam Hambal J. 1, uk. 170, 173, 175, 179, 182, 184 na 331; na J. 3, uk. 32 na 338; na J. 6 uk. 369 na 438.

18 - (a) Kanzul-Ummal, J. 6 Uk. 393/395

(b) -Manaqib cha Kharazmi Uk. 32.

(c) -Ibnu Asakir katika Tarekh w. 16.

(d) -Askafi katika Naqdh Uthmaniyah al-Jashidh Uk. 21 kimepigwa chapa Misri.

19 - (a) Yanaabee-ul-Mawadah, J. 1 Uk. 249.

(b)- Khowarazmi, Al-Manaaqib, Uk. 18

(c) -Al-Kanji Ash-Shafiy, Kifaayatu Talib, Uk. 123.

20 - (a) -Suyootee katika Tareekh J. 1, Uk. 56.

(b) -Tirmizi Hanafy katika Al-Kaukabud-Durry, Uk. 131.

21 - (a) -Tabari katika Dhakaairul Uqba, Uk. 89/91

(b) -Al-Kanji katika Kifaayatut-Taalib, Uk. 76.

(c)-Ali Al-Muttaqi katika Kanzul-Ummal J. 6, Uk. 159.

(d) -Khowarazmi katika Manaaqib

(e)- Riyadhun-Nadhra J. 2, Uk. 211.

22 - As-Sawaa-qul-Muhriqa, Uk. 78

23 - Riyadhun Nadhra Juzu 2, uk. 98

24 -Tareekhul Khulafaa Juzu 1, Uk. 66

25 -Al-Ishaab, Juzu 2, Uk. 484

26 - Dhakhairul-Uqba, Uk. 82

27 - Tadh-kira Khawaa-Sul-umma (Chapa ya Iran) Uk. 87.

28 -Uk. 14, 118 na 127

29- Kifaa-Yatut-Taalib, Uk. 130.

32 -Juzu 2, Uk. 198

30 - Al-Fussoolul-Muhim-ma, Uk. 17

31 - Kifaa-yatut-Taalib, Uk. 140

32 -Juzu 2, Uk. 198

YALIYOMO

FADHILA ZA SAYYIDNA ALI (A.S) FADHILA ZA SAYYIDNA ALI (A.S)2

HADITHI YA KWANZA 2

HADITHI YA PILI 3

HADITHI YA TATU 5

HADITHI YA NNE 5

HADITHI YA TANO 6

HADITHI YA SITA 6

HADITHI YA SABA 6

HADITHI YA NANE 6

HADITHI YA TISA 7

HADITHI YA KUMI 7

HADITHI YA KUMI NA MOJA 8

HADITHI YA KUMI NA MBILI 9

HADITHI YA KUMI NA TATU 10

HADITHI YA KUMI NA NNE 10

HADITHI YA KUMI NA TANO 11

HADITHI YA KUMI NA SITA 11

HADITHI YA KUMI NA SABA 11

HADITHI A KUMI NA NANE 12

HADITHI YA KUMI NA TISA 13

HADITHI YA ISHIRINI 14

HADITHI YA ISHIRINI NA MOJA 14

HADITHI YA ISHIRINI NA MBILI 16

HADITHI YA ISHIRINI NA TATU 18

HADITHI YA ISHIRINI NA NNE 19

HADITHI YA ISHIRINI NA TANO 20

HADITHI YA ISHIRINI NA SITA 25

HADITHI YA ISHIRINI NA SABA 26

HADITHI YA ISHIRINI NA NANE 27

HADITHI YA ISHIRINI NA TISA 27

HADITHI YA THELATHINI 28

HADITHI YA THELATHINI NA MOJA 29

HADITHI YA THELATHINI NA MBILI 30

HADITHI YA THELATHINI NA TATU 31

HADITHI YA THELATHINI NA NNE 31

HADITHI YA THELATHINI NA TANO 32

HADITHI YA THELATHINI NA SITA 34

HADITHI YA THALATHINI NA SABA 34

HADITHI YA THELATHINI NA NANE 36

HADITHI YA THELATHINI NA TISA 36

HADITHI YA ARUBAINI 37

HADITHI YA AROBAINI NA MOJA 38

HADITHI YA AROBAINI NA MBILI 38

HADITHI YA AROBAINI NA TATU 40

HADITHI YA AROBAINI NA NNE 40

HADITHI YA AROBAINI NA TANO 42

HADITHI YA AROBAINI NA SITA 44

HADITHI YA AROBAINI NA SABA 45

HADITHI YA AROBAINI NA NANE 46

HADITHI YA AROBAINI NA TISA 47

HADITHI YA KHAMSINI 48

VITABU VILIVYOPOKEA HADITHI ZILIZONAKILIWA MWENYE KITABU HIKI (1) Tafseer cha Thalabi; (430 A.H.)

(2) Tafseer Kash-shaaf; Zamakh-shari (528 A.H.)

(3) Tafseer cha Nishapuri

(4) Tafseer cha Muhammad bin Saaib Al-Kalbi

(5) Tafseer Libaabut Taaweet wa Maanil anzeel; Khazn

(6) Tafseer Madarikut Tanzeel wa Hakaaikut Taweel

(7) Tafseer Ad Darrul-Manthoor; Jalaalud-Deen Suyooti

(8) Saheeh Al-Bukhari

(9) Saheeh Muslim

(10) Sunan Ibnu Maajah Al-Qazwini

(11) Sunan Abi Yaala

(12) Sunan Ad-Daar Qutni

(13) Kanzul Ummal; Ali Muttaki Al Hanafi

(14) Mustadrak-Saheehain; Al-Hakim Nishapuri

(15) Muntakhab Kanzul Ummal; iliyoko pembezoni mwa kitabu cha Musnad cha Ahmad bin Hanbal

(16) Masabeehus-Sunna; Baghawi

(17) Musnad; Ahmed bin Hanbal

(18) Musnad; Abi Daud Al-Tayaalisi

(19) Musnad; Abi ya'laa Al-Moosali

(20) Al-Mujamul-Kabeer; Tabarani

(21) Usdul Ghabah fi Maarifatis Sahaba; Ibnul Atheer Ash-Shafii (630 A.H.)

(22) Is-aafur-Raaghibeen, Ibnu Sabbaan-Sahfii

(23) Al-Isteeab; Ibn Abdil-Bar Annamry; (463 A.H.)

(24) Al-Isaba fi Tamyeezis Sahaba; Ibnu Hajar Al-Askalani; (863 A.H.)

(25) Jaami Tirmiz

(26) Khasasi Ahmad bin Shueib Annasai Ash-Shafii; (303 A.H.)

(27) Tabakaat; Ibnu Saad

(28) Firdausul Akhbaar; Ad-Daylami

(29) Faraidus-Simtain; Ibrahim bin Muhammad Al-Hamwini Ash- Shafii

(30) Al-Fusoolul Muhimma; Ibnu Sabbagh-Al-Maliki

(31) Kunoozul Hakaik, Abdurrauuf Al-Manawi Ash-Shafii (1031 A.H.)

(32) Kifaayatut-Taalib, Al-Kanji Ash-Shafii

(33) Al-Kaukabud-Durri; Sayyid Muhammed Saleh Al-Tirmizi Al-Haanafi

(34) Al-Kuna; Al-Hakim

(35) Manaakib; Al-Muwaffak bin Ahmad Al-Khwarazmi Al-Hanafi (865 A.H.)

(36) Manaakib; Ibnu Maghazili Ash-Shafii (483 A.H.)

(37) Maktalul Husein (a.s.); Al-Muwaffak bin Ahmad Al-Khwarazmi Al-Hanafii

(38) Mawaddatul Kurba; Sayyid Ali Al-Hamdani Ash Shafii

(39) Al-Ikdul Fareed; Ibnu Abdi Rabbih

(40) Al-Gheelaaniyaat, Abi Bakr Ash-Shafii

(41) Arjahul Mataalib; Ubaidullah Amristary Al-Hanafii

(42) Al-Ithaaf Behubbil Ashraak Sheikh Abdullah Shabrawi As-Shafii

(43) Al-Alkaab; Ahmad bin Abdurrahman Shirazi

(44) Al-Bidaya Wannihaya; Ibnu Katheer Ad-damashki (774 A.H.)

(45) Tareekhul khulafa; Jalaalud-Deen Assuyooti; (911 A.H.)

(46) Tareekhul Kabeer; Ibnu Asaakir; (571 A.H.)

(47) Tareekhul Kaamil; Ibnu Atheer Aljuzary; (606 A.H.)

(48) Tareekh Baghdad; Al-khateeb Al-Baghdad

(49) Tareekh Baghdad; Ibnu Najjar

(50) Tareekh Attabari Al-Kabeer; Abi Jaafar Ibnu Jareer: (310 A.H.)

(51) Tadhkiratu Khawaasil Umma: Sibt Ibni Jauzi Al-Hanafi (654 A.H.)

(52) Hilyatul Awliyaa; Abi Naeem Al-Isfahani (530 A.H.)

(53) Khulaasatul Manaakib

(54) Dhakairul Ukba; Muhibbuddeen At-Tabari (695 A.H.)

(55) Ar-Riyaadhun Nadhra; Muhibbuddeen At-Tabari Ash-Shafii

(56) Rashfatus-Saadi; Sayyid Shahaabud-Deen Abi Bakr Ash-Shafii

(57) Assawaikul Muhrika; Ibnu Hajar Al-Haytami Ash-Shafii

(58) Al-Masheekhatul Baghdaadiya; Al-Hafidh As-Salafi

(59) Nuzhatul Majalis; As-Safoori Ash-Shafii

(60) Wafayaat-ul-Aayaan; Ibnu Khallikan Ash-Shafii

(61) Yanaabee-ul-Mawaddah Shaikh Suleina Al-Kanduzi Al-Hanafii (1294 A.H.)

FAHARASA YA MANENO YALIYONENWA NA MTUKUFU MTUME WETU (S.A.W.W.) (1) Kauli ya Mtume (s.a.w.w.); hatavuka Sirati yeyote isipokuwa aliyeandikiwa ruhusa na Ali.

(2) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni mgawaji wa Pepo na Moto

(3) Kauli yake (s.a.w.w.); kuangalia uso wa Ali ni Ibada

(4) Kauli yake (s.a.w.w.); mfano wa Ali katika Umma huu ni mfano wa Kaaba

(5) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwangalia Ali ni Ibada

(6) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni mlango wa elimu yangu na mwenye kuwaeleza umma wangu madhumuni ya kuletwa kwangu (duniani na Mungu).

(7) Kauli yake (s.a.w.w.); Kumwangalia Ali ni rehema, mapenzi na ibada

(8) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenyezi Mungu amemjalia ndugu yangu Ali kuwa sifa na vyeo visivyohisabika.

(9) Kauli yake (s.a.w.w.); Kumkumbuka na kumdhukuru Ali ni Ibada

(10) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali kwangu ni kama nilivyokuwa mimi kwa Mwenyezi Mungu.

(11) Kauli yake (s.a.w.w.); kwamba Ali ni mpole kwa Umma na mwenye subira mno.

(12) Kauli yake (s.a.w.w.); kwamba Ali anapendwa zaidi naye kuliko mtu yeyote.

(13) Kauli yake (s.a.w.w.); gao langu na la Ali katika uadilifu ni sawa.

(14) Kauli yake (s.a.w.w.); Mimi niko katika suluhu na yule atakayekuwa na watu wa hema hii.

(15) Masahaba walikuwa na sifa kumi na nane na katika hizo Ali alikuwa na sifa kumi na tatu ya pekee na kashirkiana nao katika tano zilizobaki.

(16) Kauli yake (s.a.w.w.); wewe kwangu kama alivyokuwa Harooni kwa Musa.

(17) Kauli yake (s.a.w.w.); ya kuonekana imani ya Ali kuwa mbora zaidi kuliko watu wote wa mbinguni na ardhini.

(18) Kauli ya Umar kwamba Ali amepewa sifa tatu ambazo ningalipata walau mojawapo ingalikuwa kwangu bora kuliko ngamia wekundu.

(19) Kauli ya Mtume (s.a.w.w.); Lau bahari ingaligeuka wino na miti kuwa kalamu isingaliwezekana kuandika sifa zote za Ali Bin Abi Talib (a.s.)

(20) Kauli yake (s.a.w.w.); Ewe Ali mkono wako utakuwa katika mkono wangu utapoingia Peponi nami.

(21) Kauli yake (s.a.w.w.); Huyu Ali ni ndugu yangu hapa duniani na kesho akhera.

(22) Kauli yake (s.a.w.w.); Hakuchuma mchumaji wa aina yeyote kama alivyokuwa nayo sifa Ali (a.s.)

(23) Kauli yake (s.a.w.w.); Hakuna sahaba yeyote aliyekuwa na sifa kama za Ali (a.s.)

(24) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenyezi Mungu amewaumba Malaika kutokana na nuru ya Ali (a.s.).

(25) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenyezi Mungu katika mbingu ya nne amemwumba malaika katika sura na mfano wa Ali (a.s.)

(26) Kauli yake Umar (R.A.) Ali tu ndiye mwenye ujuzi wa kuhukumu.

(27) Kauli yake (s.a.w.w.); kwamba Ali ni mjuzi zaidi wa kuhukumu kuliko watu wa Madina.

(28) Alikuwa Umar (R.A.) akiomba kwa Mwenyezi Mungu amwepushe kwenye dhiki wakati ambapo Ali hayupo.

(29) Kauli ya Umar (R.A.) kusema Ewe Mola wangu usinishushie dhiki yoyote ila akiwapo Ali (a.s.).

(30) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ndiye mwamuzi asiokuwa mfano na anavyoamua yeye ndiyo sawa.

(31) Uthibitisho wa Al-Kanji As-Shafiiy kuwa Ali ni mwenye elimu kuliko wote.

(32) Maamuzi ya Ali (a.s.) kuhusu mabedui wawili.

(33) Kauli ya Umar (R.A.) Ali ni bwana wangu na bwana wa kila mwenye kuamini na anayo mamlaka juu yetu sote.

(34) Kutia adabu na Umar (R.A.); mwenye kumbugudhi Ali.

(35) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali anatokana nami na mimi ninatokana na Ali.

(36) Kauli yake,(s.a.w.w.); kumwambia Buraydah usimbughudhi Ali (a.s.).

(37) Kauli yake (s.a.w.w.); Msimseme Ali.

(38) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni (Bwana) mwenye mamlaka juu yenu baada yangu.

(39) Muhtasari wa kisa cha Ghadeer.

(40) Kauli ya Umar (R.A.): Nilimsikia Mtume (s.a.w.w.); akitaja sifa tatu za Ali (a.s.).

(41) Kisa cha kutekwa kwa Khaybar kwa mikono ya Ameerul Mumineen Ali (a.s.)

(42) Hadithi ya kisa cha Ghadeer kwa maelezo ya Umar (R.A.)

(43) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwambia Ali (a.s.); wewe kwangu kama alivyokuwa Haruni kwa Musa.

(44) Kumwamrisha Ali kufikisha sura ya Bara-at kwa Makureshi wa Makka.

(45) Kisa cha kufungwa milango yote ifungukayo ndani ya Msikiti, na. ushindi wa Khaybar, na hadithi ya Ghadeer na hadithi ya Manzila.

(46) Kauli yake (s.a.w.w.); Laiti wangekusanyika watu wote kumpenda Ali (a.s.) asingaliumba Mwenyezi Mungu Moto (Jahanam).

(47) Kauli yake (s.a.w.w.); Ewe Ali, mwenye kukupenda wewe atakuwa pamoja na Mitume siku ya Qiyama.

(48) Mazungumzo ya Umar pamoja na Ibnu Abbasi kuhusu Khilafa (ukhalifa).

(49) Kauli ya Umar (R.A.) haukamiliki utukufu bila ya kumpenda Ali (a.s.).

(50) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenyezi Mungu amewaumba malaika kwa nuru ya uso wa Ali (a.s.).

(51) Kauli yake (s.a.w.w.); Hasan na Husain ni viongozi wa vijana wa Peponi.

(52) Kauli yake (s.a.w.w.); Mbora wa wanaume wenu ni Ali Bin Abi Talib.

(53) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni mbora wa viumbe na mwenye kukataa hayo amekufuru.

(54) Kauli yake (s.a.w.w.); Mbora wa wote walio juu ya ardhi baada yangu ni Ali Bin Abi Talib (a.s.).

(55) Kauli ya Ibnu Umar, Ali ni katika Ahlu-Bait ambaye cheo chake hakikisiwi na mtu yeyote.

(56) Kauli yake (s.a.w.w.); Sisi Ahlul-Baiti hakisiwi mtu yeyote nasi.

(57) Kauli yake (s.a.w.w.); Huyu (anamkusudia Ali) ni Bwana (mwenye Mamlaka) wenu baada yangu humu duniani na Akhera.

(58) Kauli yake (s.a.w.w.); Hakika Ali anatokana nami na mimi ninatokana naye.

(59) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwambia Ali, wewe ndugu yangu hapa duniani na kesho Akhera.

(60) Kauli yake (s.a.w.w.); mwenye kumwacha (asimfuata) Ali ameniacha mimi.

(61 ) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali wewe utakwenda Peponi.

(62) Kuhusu wale wanne wataoingia Peponi.

(63) Imani ya Ali (a.s.) kuwa na uzito zaidi kuliko mbingu na ardhi.

(64) Kauli ya Abdullah bin Umar kusema; Ali anayo mambo matatu, ninatamani niwe nao mojawapo.

(65) Kuonana kwa siri Ali (a.s.) na Mtume (s.a.w.w.); na Ali kutoa sadaka alivyoamrisha Mwenyezi Mungu.

(66) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenye kumpenda Ali Mwenyezi Mungu atamkubalia swala na saumu yake.

(67) Kauli yake (s.a.w.w.); kuwapenda Aali Muhamad (dhuriya wa Mtume) siku moja tu ni bora kuliko ibada ya mwaka mmoja.

(68) Kuzungumza Mwenyezi Mungu na Mtume (s.a.w.w.) usiku wa Miraji kwa lugha (sauti) ya Ali.

(69) Kauli yake (s.a.w.w.); Nalikuwa Mimi na Ali mbele ya Mwenyezi Mungu kabla ya kumwumba Adam (a.s.).

(70) Kauli yake (s.a.w.w.); Kumwambia Ali, 'wewe ni ndugu na waziri wangu'.

(71) Kauli yake (s.a.w.w.); Mwenye kupenda aishi maisha yangu na kufa kwangu) basi ampende na kumfuata Ali.

(72) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwambia Aisha kwamba Ali ni Bwana wa Waarabu.

(73) Kauli ya Aisha kwamba Ali ni bora wa viumbe hatilii shaka juu ya jambo hilo ila kafiri.

(74) Kauli yake (s.a.w.w.); Ali ni bora wa viumbe.

(75) Kauli ya Aisha, "Hakumwumba Mwenyezi Mungu aliye mpenzi zaidi kwa Mtume (s.a.w.w.) kuliko Ali (a.s.).

(76) Kauli ya Aisha kwamba: Ali alikuwa mpenzi mno wa Mtume kuliko watu wote.

(77) Kauli ya Aisha, "Kwamba Ali ni karibu zaidi katika huba kwa Mtume (s.a.w.w.) kuliko watu wote.

(78) Kauli yake (s.a.w.w.); kumwangalia uso wa Ali (a.s.) ni ibada.


5

6

7

8

9