MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA ELIMU

MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA ELIMU 0%

MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA ELIMU Mwandishi:
Kundi: Vitabu mbali mbali

MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA ELIMU

Mwandishi: NDUGU ZETU WA KISUNNI
Kundi:

Matembeleo: 44183
Pakua: 3342

Maelezo zaidi:

MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA ELIMU
Tafuta ndani ya kitabu
  • Anza
  • Iliyopita
  • 22 /
  • Inayofuata
  • Mwisho
  •  
  • Pakua HTML
  • Pakua Word
  • Pakua PDF
  • Matembeleo: 44183 / Pakua: 3342
Kiwango Kiwango Kiwango
MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA ELIMU

MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA ELIMU

Mwandishi:
Swahili

ZOEZI

2:1 1. Allah (s.w) hatumuoni kwa macho lakini tunamuona kwa akili zetu kwa........................

2."Katika kuumbwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana, ziko alama (hoja) za kuonyesha kuwepo Allah (a.w) kwa wenye akili." (3:190). Ainisha alama kumi (10) zilizo katika maumbile ya mbinguni na ardhini zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w).

3. "...Na katika nafsi zenu (pia zimo ishara hizo), Je, hamuoni?" (51:20-22) Orodhesha dalili kumi (10) katika nafsi ya mwanaadamu zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w)

4. Kwa kurejea kisa cha watu wa tembo (As-habul-fyl) kilichosimuliwa katika Suratul-fyl (105:1-5) thibitisha kuwepo kwa Allah (s.w).

5. Taja mambo saba (7) katika maisha ya Mitume yanayothibitisha kuwepo kwa Allah (s.w).

6. Taja dalili tatu (3) katika mafundisho ya Mitume zinazothibitisha kuwepo Allah (s.w).

7. Katika Qur-an na Hadithi sahihi tumefahamishwa sifa (majina) mbali mbali za Allah (s.w) ili...........................

8. Eleza kwa muhutasari ni vipi Allah (s.w) hushirikishwa katika: (a) Dhati yake. (b) Sifa zake. (c) Hukumu zake. (d) Mamlaka yake.

9. Kina cha uovu wa shirk kinabainishwa katika Qur-an kuwa:

(a) ............................(b) ...........................(c) ............................

10. Allah (s.w) ameikemea vikali shirk kwa sababu.................