MUANDAMO WA MWEZI

MUANDAMO WA MWEZI 0%

MUANDAMO WA MWEZI Mwandishi:
Kundi: Midahalo na majadiliano kielimu

MUANDAMO WA MWEZI

Mwandishi: Juma Muhammad Rashid Al-Mazrui, Al-Zenjibari.
Kundi:

Matembeleo: 59160
Pakua: 4781

Maelezo zaidi:

MUANDAMO WA MWEZI
Tafuta ndani ya kitabu
  • Anza
  • Iliyopita
  • 23 /
  • Inayofuata
  • Mwisho
  •  
  • Pakua HTML
  • Pakua Word
  • Pakua PDF
  • Matembeleo: 59160 / Pakua: 4781
Kiwango Kiwango Kiwango
MUANDAMO WA MWEZI

MUANDAMO WA MWEZI

Mwandishi:
Swahili

MAREJEO

1- Nilipeleka jawabu hii pamoja na kopi ya kitabu changu kwa wahusika.

2- Yaani katika jawabu hii nilipowapelekea.

3- Tamaza Tah-dhibu Tah-dhibu ya Imam Ibn Hajar Al Asqalani jalada la 3 uk 684-685 chapa ya Beirut. Tazama mahala pa herufi mimu] piya Taqribu Tah-dhibu jalada la 2 ukurasa 86.

4- Tazama Al Jarhu Wataadil cha Imam Ibn Abi Hatim jalada la 8 uk.68 chapa ya India.

5- Mudallis si maana yake mwongo; bali ni mwenye kughushi.

6- Sura 17, Aya 36.

7- Sura 7, Aya 33.

8- Sura 6, Aya 144.

9- Isipokuwa mpokezi wa kwanza ndio wasimulizi wametafautiana.

10 Tazama Tarjama ya Muhammad bin Abi Harmala katika Tahidhi Al-Tahdhib j. 10, uk. 96, tarjama na. 149.

11- J. 9, uk. 373, tarjama (biography) na. 690.

12- Al-Sunan Hadithi na.

13- Si Muhammad bin Kurayb.

14- Pia si Muhammad bin Kurayb, bali ni Kurayb, wala hakuna sanad yoyote ya riwaya hii ambayo ndani yake kuna Muhammad bin Kurayb.

15- Al-Sunan Hadithi na. 2329.

16 - Al-Sahih j. 2, uk. 924 Hadithi na. 1916.

17 - Al-Kubra j. 3, uk. 97, Hadithi na. 2432.

18 - Al-Kubra j. 6, uk. 294 Hadithi na. 8297.

19 - Tazama J. 2 uk 490.

20 - Sunna Za Mtume(s.a.w.w) yaani Hadithi zake zilizothibiti.

21- Qur-aan 4:59.

22- Al-Nawawi Taqribu Al-Nawawi kilicho pamoja na Tadribu Al-Rawi uk. 159-160.

23- Kitabu Ushahidi Uliowekwa Wazi nillikiambatanisha na jawabu kuwafikishia wahusika.

24 - Nassor Bachoo Ufafanuzi Wa Mgogoro Wa Kuandama Kwa Mwezi uk. 2.

25 - Nassor Bachoo Ufafanuzi Wa Mgogoro Wa Kuandama Kwa Mwezi uk. 162.

28 - Juma Mazrui Ushahidi Uliowekwa Wazi chapa ya kwanza 85, chapa ya pili uk. 97.

29 - Juma Mazrui Ushahidi Uliowekwa Wazi chapa ya kwanza 85, chapa ya pili uk. 97.

30 - J. 4, uk. 450, katika maelezo yake juu ya Hadithi na. 77/2599.

31 - Tazama Al-shaukaniy "AL-NAYLU" j. 3, uk. 212, katika maelezo juu ya Hadithi na. 1/1155 na 2/1156, katika "Babu Ikhtiyar Al-qasri Wa Jawazi Al-itmam."

32- Ibn Hisham Qatru Al-Nada uk. 357.

33 - Ibn Hisham Qatru Al-Nada uk. 361.

34 - Lakini Al-Hafidh Ibn Hajar kawakosoa waliosema kwa Hadithi hii imesimuliwa kutoka kwa Abu Sa'id Al-Khudri. Anasema Ibn Hajar: "Al-Ghazali na Al-Fakhr Al-Razi wakifatiwa na Al-Baydhawi wamekinasibisha kisa hiki kwa Abu Sa'id Al-Khudri nalo ni kosa, bali yeye (mwenye kisa hiki) ni Abu Sa'id Al-Mu'alla". Tazama Fat-hu Al-Bari j. 9, uk. 5076, katika sherehe ya Hadithi na. 4474. Ninasema: lakini maelezo hayo ya Ibn Hajar ya kuwakosoa Al-Ghazali, Al-Razi na Al-Baydhawi, bado ni maelezo ya kufirikiwa kwani kisa hiki kimesimuliwa pia na Muslim Hadithi na. 2201, na Abu Dawud Hadithi na. 3415 na wengine kutoka kwa Abu Sa'id Al-Khudri. Kwa hivyo, Al-Ghazali na wenziwe hawakukosea isipokuwa ikiwa Ibn Hajar anadai kuwa sanad hizo ni dhaifu na ya Al-Bukhari yenye kusema kuwa muhusika alikuwa ni Abu Sa'id Al-Mu'allah ndio sanad sahihi.

35 - Kati ya watu wa hilo kabila.

36 - Abu 'Ubaid Fadhailu Al-Qur-an uk. 224.

37 - Al-Bukhari Al-Sahih Haadithi na. 5006 na Hadithi na. 5736

38 - Al-Bukhari Al-Sahih Hadithi na. 5737.

39 - Nassor Bachoo Ufafanuzi Wa Mgogoro Wa Kuandama Kwa Mwezi uk. 152.

40 - Sura ya 36 Aya 39.

41 - Sura ya 10 Aya ya 5.

42- Al-Tukhi Ahkamu Al-Hakim j. 1, uk. 55. Al-qurtubiy "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36. Al-zamakhshariy "AL-KASHAF" j. 4, uk. 19. Al-baghawiy "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 2, uk. 410, katika tafsiri ya Aya ya 5, ya Sura ya 10.

43 - Al-tukhiy "AHKAMU AL-HAKIM" j.1, uk. 55. Al-baghawiy "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 2, uk. 410, katika tafsiri ya Aya ya 5, ya Sura ya 10. Hizi ndizo buruji mashuhuri kwa wataalamu wa falaki hususan wa Kiarabu. Ama buruji inayoitwa Ophiuchus au kwa Kiarabu ?????? Al-hawiyya si mashuhuri kwao, na kwa hivyo utaona si aghlabu kuitaja: mara nyingi hutaja hizi kumi na mbili tu. Anasema Al-tukhiy Al-falakiy: "Jua kwamba katika anga kuna buruji - yaani nyota nyingi (ambazo) zinajengeka kutokana na hizo buruji kumi na mbili." Tazama "AHKAMU AL-HAKIM" j. 1, uk. 17.

44- Tazama majina hayo ya buruji katika Al-tukhiy "AHKAMU AL-HAKIM" j.1, uk. 158. Al-baghawiy "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 2, uk. 410, katika tafsiri ya Aya ya 5, ya Sura ya 10.

45 - Al-tukhiy "AHKAMU AL-HAKIM" j. 1, uk. 55. Al-qurtubiy "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36. Al-baghawiy "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 2, uk. 410, katika tafsiri ya Aya ya 5, ya Sura ya 10.

46 - Al-tukhiy "AHKAMU AL-HAKIM" j. 1, uk. 55. Al-qurtubiy "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36. Al-baghawiy "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 2, uk. 410, katika tafsiri ya Aya ya 5, ya Sura ya 10.

47 - Tazama majina ya vituo hivyo katika: Al-baghawiy "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 2, uk. 410, katika tafsiri ya Aya ya 5, ya Sura ya 10. Al-qurtubiy "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36. Al-zamakhshariy "AL-KASHAF" j. 4, uk. 19, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36. Al-tukhiy "AHKAMU AL-HAKIM" j. 1, uk. 55. Hata hivyo, majina ya manazili - kama tulivyotangulia kodokeza - si jambo ambalo wataalamu wameafikiana. Na kwa hivyo, utakuta huyu anayaita manazili fulani jina kadha, na mwengine anayaita manazili hayo hayo jina jengine. Kwa mfano, manazili ya Shartan wengine wanayaita Nat-hu. Tazama Al-tukhiy "AHKAMU AL-HAKIM" j. 1, uk. 56. Wengine hutaja Manazil Zabra kama ilivyo katika Al-zamakhshariy "AL-KASHAF" j. 4, uk. 19; wengine hawataji jina hilo kamwe, na badala yake hutaja jina la Al-kharatan kama ilivyo katika tafsiri ya Al-qurtubiy "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36. Lakini yote haya si muhimu: kilicho muhimu ni uhakika wa kitu: si jina. Lau mtu atayaita maji ulevi basi hayaharamiki; na lau atauita ulevi maji, basi hauhalalilki; kwani mazingatio yako katika uhakika wa kitu si katika jina lake.

48 - Wako wanaojiuliza: je kuna uhusiano gani baina ya mambo haya na Uislam? Sasa cha kufahamu ni kuwa sisi tunazungumzia uhakika (facts): hatuzungumzii dhana zisizokuwepo (illusion au (Nyota zipo tunaziona, na Allah katwambia kama zipo. Anasema Allah:"Na nyota zimetiishwa kwa amri yake." Sura 16 Aya 14. Na manazil yapo. Anasema Allah: "Na Mwezi tumeupimia manazil (vituo). Na buruji (constellations yaani mikusanyiko ya nyota) zipo. Anasema Allah: (Naapa kwa anga yenye buruji (mikusanyiko ya nyota). Al-allama Sheikh Al-farisy na Sheikh Ali bin Muhsin Al-barwaniy wameifasiri Aya hio hivi: "Naapa kwa mbingu yenye buruji." Lakini - ninavyoona mimi - ni bora kufasiri "Naapa kwa anga yenye buruji" kwani nyota ziko katika anga: si katika mbingu. Na neno al-samaa linafasirika kwa namna nyingi, moja ya hizo ni anga. Na kwa hivyo utaona kwamba Sheikh Al-farisy mwenyewe katika maelezo yake juu ya Aya ya 22 ya Sura ya 2, anasema: "Na samaa ni kila kilicho juu yako." Lakini labda neno "Mbingu" katika Kiswahili pia lina maana ya anga. Ikiwa ni hivyo, basi tafsiri ya Mashekhe wawili itakuwa haina mushkeli. Sasa tukirudi katika mas-ala ya falaki, nyota, manazil na buruji, ni kuwa kilichoharamishwa katika mambo haya ni kuamini kuwa mambo haya yanadhuru au yanafaa. Kuamini hivi ni shirki: ama kusoma myenendo ya sayari na nyota kwa ajili ya kujua hisabu na mengineo, haya sio yaliokatazwa kama Maulamaa wanavyosema. Ama yale majina walioyapa manazil na buruji hizo, sisi hayatudhuru kitu: cha muhimu kwetu ni kuwa uhakika wa kile kitu chenyewe kipo, na jina unaweza kuita unavyoona wewe.

49-. Al-qurtubiy "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36.

50 - J. 1, uk 55.

51- Uk. 57. Kumbuka kwamba maneno haya hapa mimi ninanukuu kwa ajili ya kutoa fikra mbali mbali za wataalamu tu: sisemi kuwa ni sahihi au ni makosa: nayanukuu kwa sababu yakiwa sahihi au si sahihi, basi hayaathiri kitu katika utafiti wetu huu. Lakini wasemaji hawa ni wenye kuaminika sana katika uwanja huu wafalaki kwa kadiri ninavyofahamu.

52 - Anasema Al-zamakhshariy katika "AL-KASHAF" j. 4, uk. 19, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36: "Unakaa mwezi katika kila moja ya hayo (manazili 28) kwa (muda wa) siku moja." Anasema Al-baghawiy katika "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 2, uk. 410, katika tafsiri ya Aya ya 5, ya Sura ya 10: "Basi unakaa mwezi katika kila moja ya hayo (manazili 28) kwa (muda wa) siku moja." Anasema Al-qurtubiy katika "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36: "Unakaa mwezi kila siku moja katika moja ya hayo (manazili 28)." Anasema Al-sabuni katika "SAFWAT AL-TAFASIR" j. 3, uk. 12: "Nayo ni manazili ishirini na nane, unakaa (mwezi) kila siku moja katika moja ya hayo (Manazili ishirini na nane)."

53 - Anasema Al-qurtubiy katika "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura 36: "Basi (Mwezi) unaikata falaki (Orbit) kwa muda wa siku ishirini na nane." Tazama pia maneno hayo katika: Al-zamakhshariy "AL-KASHAF" j. 4, uk. 19, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36. Anasema Al-tabtabai katika "AL-MIZAN" j. 17, uk. 90: "Manazil ni wingi wa (neno) manzil?..na dhahir ni kuwa makusudio ni manazil ishirini na nane ambayo mwezi unayakata katika (muda wa) siku ishirini na nane taqriban."

54 - Anasema Al-qurtubiy katika "AL-JAMI'U LIAHKAMI AL-QUR-AN" j. 15, uk. 30, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura 36: "Kisha (mwezi) hujificha; kisha huchomoza hali ya kuwa ni mwezi muandamo." Anasema Al-zamakhshariy katika "AL-KASHAF" j. 4, uk. 19, katika tafsiri ya Aya ya 40, ya Sura ya 36: "Kisha (mwezi) hujificha (kwa muda wa) siku mbili; au (kwa muda wa siku) moja ikiwa mwezi (month) ni mpungufu (Yaani ukiwa umeandama 29)." Anasema Al-baghawiy katika "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 2, uk. 410, katika tafsiri ya Aya ya 5, ya Sura ya 10: "Na hujificha (mwezi kwa muda wa) siku mbili ikiwa mwezi (month) ni siku thalathini; na ukiwa (mwezi: month) ni wa siku ishirini na tisa, basi (mwezi: moon) hufichika (kwa muda wa) siku moja."

54 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 5.

56 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 8.

57- Sura ya 10 Aya ya 5.

58 - Hii haina maana kwamba hakuna sababu nyengine za kuumbwa jua na mwezi, lakini iliotajwa hapa ni hio. Na Aya hii - kwa uoni wangu - inahitaji maelezo marefu sana. Mengine ni ya Kisharia; mengine ni ya kifalaki. Na yote yanahitaji wenyewe waliobobea katika fani hizo.

59 - Juma Mazrui Hoja zilizowekwa Wazi uk. 24, chapa ya pili na 24; chapa ya kwanza uk. 18.

60 - Tazama ukurasa wa 68-70, wa chapa ya pili ya kitabu Ushahidi uliowekwa wazi au uk. 58-59 wa kitabu hicho chapa ya kwanza.

61 - Aya yenyewe ni hii: "Yeye (Allah) Ndiye aliyelifanya jua kua muanga na mwezi kua nuru na akaupimia (huo mwezi) vituo, ili mujue idadi ya miaka na hisabu."

62- Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 5.

63- Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 8.

64- Tazama Ibn Uthaimin "FATAWA ULAMAI AL-BALADI AL-HARAM" uk. 194-195.

65 - Ibn Maja Al-Sunan Hadithi na. 17. 65

66- Sura ya 36 Aya 39.

67 - J. 1, uk 55.

68 - Wa kumi na tatu ni wa buruji inayoitwa Ophiuchus au kwa Kiarabu ?????? Al-hawiyya. Lakini hii si buruji mashuhuri kwa wanavyuoni wa Kiarabu, na kwa hivyo si aghlabu kuitaja: hutaja buruji 12 tu.

69 - Sura ya 85 Aya ya 1.

70 - Tazama Nassor Bachoo: "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI." Uk. 66.

71 - J. 1, uk 55.

72 - Wa kumi na tatu ni wa buruji inayoitwa Ophiuchus au kwa Kiarabu ?????? Al-hawiyya. Lakini hii si buruji mashuhuri kwa wanavyuoni wa Kiarabu, na kwa hivyo si aghlabu kuitaja: hutaja buruji 12 tu.

73 - Sura ya 85 Aya ya 1.

74 - Sheikh Al-mufassirin Badru Al-din Al-khaliliy "AL-HAQQU AL-DAMIGH" uk. 46.

75 - Ibn Mandhur "LISANU AL-ARAB" j. 8, uk. 183.

76 - Al-sabuniy "SAF-WATU AL-TAFASIR" j. 1, uk. 275, katika maelezo ya Aya ya 77 ya Sura ya 6.

77 - Sahihi ni "Mat-lail-Badri" si "Mat-lail-Badru".

78 - Ameipokea Al-hakim - katika "AL-MUSTADRAK" j. 1, uk. 584-585, Hadithi na. 1539, na Al-bayhaqiy katika "AL-KUBRA" j. 6, uk. 196, Hadithi na. 8022, na Abdul-Razzaq katika "AL-MUSANNAF" j. 4, uk. 122, Hadithi na. 7336, na Al-daraqutniy katika "AL-SUNAN" j. 2, uk. 163, Hadithi na. 29 .

79 - Abu Ghanim Al-khurasani "AL-MUDAWANA AL-SUGHRA" j. 1, uk. 168.

80 - Al-wahidiy "ASBABU AL-NNUZUL" uk. 98.

81 - Al-suyutiy "ASBABU AL-NUZUL" uk. 28.

82 - Bali Aya yenyewe inaonesha kwamba Hadithi hii ni ya kutunga. Tazama ukweli kwamba Aya inasema kwamba alichoulizwa Mtume (s.a.w.) ni miezi miandamo, wakati Hadithi inaonesha kwamba alichoulizwa ni hali tafauti za mwezi. Tena kama Hadithi hio ilikuwa sahihi, basi Qur-ani isingelitumia neno "Ahilla" (Miezi miandamo), bali ingetumia neno "Qamar" kwani neno "Hilal" - ambalo wingi wake ndio "Ahilla" - ni mahususi kwa maana ya (Mwezi muandamo), wakati Hadithi inaonesha kwamba alichoulizwa Mtume(s.a.w.w) ni hali ya mwezi kwa maana ya "Qamar," ndio maana akaulizwa kuhusu hatua (stages) unazopita za ukubwa na udogo. Kwa ufupi, ni kuwa kuna mgongano baina ya Hadithi na Aya; ukiongeza na udhaifu mkubwa uliopo wa sanad ya Hadithi hio, basi utakuwa umeongeza chumvi juu ya jaraha!

83- Tazama "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" j. 9, uk. 387, tarjama na. 721.

84 - Al-suyutiy "ASBABU AL-NUZUL" uk. 6, katika maelezo juu ya Aya 14, ya Sura ya 2.

85- Tazama tafsiri ya Al-baghawiy "MAALIMU AL-TANZIL" j.1, uk. 144, katika maelezo ya chini yaliotiwa na Abdul-Razzaq Al-mahdiy.

86 - Hatimae ikanibainikia kwamba Hadithi hii ni ya kutunga tu, kwani Al-kalbiy kaisimulia kutoka kwa Abi Salih. Na Al-kalbiy kakiri kwamba riwaya zote alizozisimulia kutoka kwa Abi Salih ni za uwongo. Anasema Al-bukhari: "Katusimulia Yahya kutoka kwa Sufyan kasema: 'Kaniambia Al-kalbiy: 'Kila nilichokusimulia kutoka kwa Abi Salih ni uwongo." Tazama Al-dhahabiy "AL-MIZAN" j. 5, uk. 3, tarjama na. 7574.

87- Al-zarqaniy "MANAHILU AL-U'RFAAN" j. 2, uk. 17.

88 - Al-zarqaniy "MANAHILU AL-U'RFAAN" j. 2, uk. 17.

89 - Abdul-Razzaq katika maelezo yake juu ya Tafsiri ya Al-baghawiy "MA'ALIMU AL-TANZIL" j. 1, uk. 11.

90 - Tazama maelezo haya katika "AL-MAUDHUAT" (HADITHI ZA KUTUNGA) cha Ibn Al-jawziy, j. 1, uk. 240, milango yenye kuhusiana na Qur-an: mlango wa fadhila za Sura.

91 - Tazama maelezo ya Abdul-Razzaq Al-Mahdi katika Al-Kashaf j. 1, uk. 261.

92- Tazama maelezo ya Abdul-Razzaq Al-Mahdi katika Ma'alimu Al-Tanzil cha Al-Baghawi j. 1, uk. 234. Tazama pia maelezo ya Abdul-Razzaq Al-Mahdi huyo huyo katika Al-Jami'u cha Al-Qurtubi j. 2, uk. 339.

93 - Al-Alusi Ruhu Al-Ma'an j. 2, uk. 71.

94 - Tazama Al-Zarkashi Al-Burhan fii 'Ulumi Al-Qur-an j. 1, uk. 22.

95- Tazama Muslim "SAHIHU MUSLIM" katika Sharhu al-nawawiy ni j. 8, uk. 32, Hadithi na. 36- 2408, mlango kuhusu fadhila za Ali bin Abi Talib.

96 - Tazama "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" j. 9, uk. 387, tarjama na. 721.

97- Al-suyutiy "ASBABU AL-NUZUL" uk. 6, katika maelezo juu ya Aya 14, ya Sura ya 2.

98 - Tazama tafsiri ya Al-baghawiy "MAALIMU AL-TANZIL" j.1, uk. 144, katika maelezo ya chini yaliotiwa na Abdul-Razzaq Al-mahdiy.

99 - Hatimae ikanibainikia kwamba Hadithi hii ni ya kutunga tu, kwani Al-kalbiy kaisimulia kutoka kwa Abi Salih. Na Al-kalbiy kakiri kwamba riwaya zote alizozisimulia kutoka kwa Abi Salih ni za uwongo. Anasema Al-bukhari: "Katusimulia Yahya kutoka kwa Sufyan kasema: 'Kaniambia Al-kalbiy: 'Kila nilichokusimulia kutoka kwa Abi Salih ni uwongo." Tazama Al-dhahabiy "AL-MIZAN" j. 5, uk. 3, tarjama na. 7574.

100 - Tazama maelezo ya Abdul-Razzaq Al-Mahdi katika Al-Kashaf j. 1, uk. 261.

101 - Tazama maelezo ya Abdul-Razzaq Al-Mahdi katika Ma'alimu Al-Tanzil cha Al-Baghawi j. 1, uk. 234. Tazama pia maelezo ya Abdul-Razzaq Al-Mahdi huyo huyo katika Al-Jami'u cha Al-Qurtubi j. 2, uk. 339.

102- Al-Alusi Ruhu Al-Ma'an j. 2, uk. 71.

103- Al-Sayyid Muhammad Rashid Ridhaa Al-Manar j. 2, uk. 143.

104 - Al-Tabatabai Al-Mizan j. 2, uk. 59.

105 - Hadithi hio kaipokea Muslim "SAHIHU MUSLIM" Hadithi na. 2523, j. 4, uk. 421 katika "Sharhu Al-nnawawi." Al-tirmidhiy "AL-SUNAN" uk. 207, Hadithi na. 693. Abu Daud "AL-SUNAN" uk. 400, Hadithi na. 2329. Al-nnasai "AL-KUBRA" j. 3, uk. 97-98, Hadithi na. 2432. Al-bayhaqiy "AL-KUBRA" j. 6, uk. 294-295. Ibn Khuzaima "AL-SAHIH" j. 2, uk. 924, Hadithi na. 1916. 106 - Tazama "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" j 11, uk. 259, tarjama na. 479.

107- Tazama "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" j.1, uk. 251, tarjama na. 533.

108 - Tazama "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" j 9, uk. 96, tarjama na. 149.

109 - Tazama "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" j. 8, uk. 388, tarjama na. 785. Jambo la kusikitisha ni kusema kitu bila ya ushahidi kutoka katika vitabu vyenye kutegemewa, ambapo Sheikh Bachoo alisema katika uk. 58 wa kitabu chake maneno haya: "Kisa cha Kuraib ni "MAJHUUL" yaani Kuraib ni mtu asiyeeleweka vyema katika wapokezi wa Hadithi." Sasa sijui Sheikh Bachoo maneno haya kayapata wapi?! Kuraib huyu ambaye ni Mawla wa Ibn Abbas katajwa katika: "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" cha Ibn Hajar tarjama (biography) na 785, na akasema Ibn Sa'ad ni "Mwenye kuaminika." Anasema Uthman Al-darimiy: "Nilimwambia Ibn Main: '(Riwaya za) Kuraib kutoka kwa Ibn Abbas ni bora zaidi kwako au (riwaya za) Ikrima (kutoka kwa Ibn Abbas?)" Akasema (Ibn Main): 'Wote wawili ni wenye kuaminika." Na Kuraib huyu katajwa pia na Ibn Hibban katika "AL-THIQAT" (Kitabu juu ya wapokezi wenye kuaminika), uk. 367, tarjama na. 5124. Tazama maelezo hayo pia katika "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" j. 8, uk. 388 Kuraib katajwa pia na Al-bukhariy katika "AL-TAARIKHU AL-AWSAT" j. 1, uk. 371, tarjama na. 824, na akamtaja pia katika "AL-TAARIKHU AL-KABIR" j. 7, uk. 114, tarjama na. 10332. Na akatajwa na Ibn Sa'ad katika "AL-TABAQATU AL- KUBRA" j. 5, uk. 224, tarjama na. 905, na akasema kwamba ni "Mwenye kuaminika." Na akatajwa na Abu Hatim Al-raziy katika "AL-JARHU WA AL-TA'ADIL" j. 7, uk. 168, tarjama na. 955, na akanukuu kauli ya Ibn Main yenye kusema "Wao (Kuraib na Ikrima) ni waaminifu." Na wako wengine wengi waliomtaja Kuraib katika vitabu vya "TAARIKH" na vitabu vya wapokezi wa Hadithi. Tazama maelezo ya chini katika "AL-TAARIKHU AL-KABIR" cha Al-bukhari, j. 7, uk. 114 kilichohakikiwa na Mustafa Abdul-Qadir, utaona marejeo mengine 15 ya ziada ambayo sikuyataja hapa ambamo Kuraib katajwa. Kwa hivyo, kauli ya Sheikh Bachoo kwamba Kuraib hajulikani ni Mujazafa (Kusukuma): kauli hio haina thamani katika gulio la elimu.

110 - Al-shaukaniy "NAYLU AL-AWTAR." j. 4, uk. 200 katika sherehe ya Hadithi na. 1636.

111- Jawabu hii inapatikana katika darsa ya tafsiri ya Aya ya 189 ya Sura ya 2. Sehemu hii ya tafsiri ya Sheikh bado haijachapishwa lakini inapatikana katika kaseti za redio.

112 - Tazama Al-suyutiy: "TADRIBU AL-RAWI" uk. 161.

113- Al-shaukaniy "NAYLU AL-AWTAR." j. 4, uk. 200 katika sherehe ya Hadithi na. 1636.

114 - Wengine wanasema ni zaidi ya meli 700, kama ilivyo pia katika kitabu cha Sheikh Nassor Bachoo.

115 - Al-shaukaniy "NAYLU AL-AWTAR." j. 4, uk. 200 katika sherehe ya Hadithi na. 1636.

116 - Al-shaukaniy "NAYLU AL-AWTAR." j. 4, uk. 200 katika sherehe ya Hadithi na. 1636.

117 - Elewa kwamba ibara hii ya Al-shaukaniy aliposema: "Ikiwa andiko linajulikana" na aliposema: "Ikiwa andiko halijulikani" si ibara sahihi. Ibara hii msingi wake ni kuwa maneno ya Ibn Abbas aliposema: "Hivi ndivyo alivyotuamuru Mtume s.a.w." ni ijtihadi yake Ibn Abbas. Nayo si kauli sahihi kama tulivyobainisha. Kwa hivyo, jawabu ni kuwa andiko linajulikana, nayo ni riwaya ya Ibn Abbas na Kuraib.

118 - Al-shaukaniy "NAYLU AL-AWTAR." j. 4, uk. 200 katika sherehe ya Hadithi na. 1636.

119 - Tazama kanuni hii katika Dr. Wahbat Al-zuhailiy "USULU AL-FIQ-HI" j. 1, uk. 637.

120 - Qiyas - kilugha - maana yake ni kipimo. Ama katika fani ya usulu Al-fiq-hi, Qiyas ni "Kukirejesha kitu ambacho hukumu yake haikutajwa, kwa kukilinganisha na kitu ambacho hukumu yake imetajwa, kisha ukakipa kitu ambacho hukumu yake haikutajwa hukumu sawa na ile ya kitu ambacho hukumu yake imetajwa, kwa ajili ya kuwepo illa (sababu) moja katika vitu viwili hivyo." Kwa hivyo, katika Qiyas, tuwe na mambo mane:

1) Aslu. Yaani asili au shina. Shina ni kile kitu ambacho hukumu yake imetajwa.

2) far'u. Yaani tawi. Tawi ni kile kitu ambacho hukumu yake haikutajwa.

3) Illah. Illa ni sababu ambayo ipo katika Aslu. (Shina) na ipo katika far'u (Tawi). Wengine wanatafautisha baina ya sababu na illa. Sababu - kwao - ni kitu kisicho na uhusiano na kitu chenye kupewa hukumu. Kama kutenguka jua kuwa ni sababu ya kuwajibikiwa na Sala. Na illa ni kitu chenye uhusiano na kitu chenye kupewa hukumu. Kama mgonjwa kuruhusiwa kula mwezi wa Ramadhani. Ugonjwa ni illa ya ruhusa hio, na uhusiano baina ya ugonjwa na kuruhusiwa kula uko wazi.

4) hukmu (hukumu) ni moja katika hukumu tano, nazo ni: wajibu, mandub (jambo litakiwalo kufanywa lakini si lazima), haramu, mubaha (ruhusa) na makruhu. Kwa hapa hukumu inaweza ikawa ima ni uharamu wa kuzingatia muandamo wa mbali; au wajibu wa watu wa kila mji kufata muandamo wao.

121 - Tazama darsa hii katika: Al-imamu Al-salimi "SHARHU TAL-ATI AL-SHAMS" j. 2, uk. 135. Dr. Wahbat Al-zuhaily "USULU AL-FIQ-HI AL-ISLAMI" j. 1, uk. 671. Sheikh Muhammad Al-khadhari " USULU AL-FIQ-HI" uk. 381.

122 - Kumbuka kwamba hapa tunafanya (Kuzikusanya sifa zinazoelekea kuwa illa (sababu) halafu kuzipima na kuchukua iliokuwa sahihi).

123 - Makusudio ya sababu isiovuuka mahala pake, ni sababu ambayo ndio iliosababisha kitu fulani kikapewa hukumu fulani, lakini sababu hio ikawa ipo katika kitu hicho tu: haipo katika kitu chengine. Sababu kama hii ni dhaifu, na kwa hivyo ikiwa kuna sababu nyengine ambayo ipo katika kitu hicho na pia ipo katika kitu au vitu vyengine - ambayo ndio huitwa kuwa ni sababu iliovuuka mahala pake - basi wanavyuoni huifanya sababu hio iliovuuka mahala pake kuwa ndio sababu ya hukumu. Si kwamba sababu isiovuuka mahala pake haifanywi kuwa ni sababu ya hukumu, "Laa" inafanywa kwa mujibu wa wanavyuoni wengi, lakini ikigongana na sababu inayovuuka mahala pake basi sababu hio inayovuuka mahala pake ndio ya kuzingatiwa. Na yote haya lau ingelikuwa neno "Sham" linafaa kuwa ni sababu, lakini hata kulifanya neno hilo kuwa ni sababu ya hukumu haiwezekani, kama ulivyoona humu katika maelezo yetu.

124 - Tazama: Sh. Nassor Bachoo: "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 32.

125 - "NAYLU AL-AWTAR." j. 4, uk. 200 katika sherehe ya Hadithi na. 1636.

126 - Neno "Punguzu" ndilo lililomo katika kitabu cha Sheikh Nassor, sijui kama kakusudia neno "Pungufu" au hili ndio neno sahihi kwa mujibu wa Sheikh Bachoo.

127 -Tazama "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 33.

128- Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 37.

129- Ibn Hajar "AL-FAT-HU" j. 5, uk. 2480, katika maelezo ya Hadithi na. 1911.

130 - Wau al-atfi ni wau yenye kuunganisha baina ya maneno mawili au zaidi au sentensi mbili au zaidi. Yaani ni Cojujuctional letter (Herufi ya kuuanganishia). Hii ni kama kusema katika Kishwahili: Ali na Saleh. Herufi "Na" ndio sawa na "Wau au wa" nayo imetumika kuunganisha baina ya maneno Ali na sale. Halkadhalika Wau al-atfi huunganisha maneno au sentensi.

131- Al-tirmidhiy "AL-SUNAN" katika tarjama ya mlango wa 9, maelezo ya Hadithi na. 693.

132- Ibn Khuzaima "SAHIHU" yake katika tarjama ya mlango na. 33, j. 2, uk. 924, Hadithi na. 1916.

133 - Tazama "SHARHU SAHIHI MUSLIM" ya Al-imamu Al-nnawawi, Hadithi na. 2523. Bali Sheikh Bachoo mwenyewe katika uk. 29 kayafasiri maneno hayo ya Ibn Abbas yasemayo: kuwa maana yake ni: "La (Hapana): hivi ndivyo alivyotuamrisha Mjumbe wa Mwenyezi Mungu." Halafu hapa kageuka na kuyafasiri maneno hayo hayo kuwa Ibn Abbas kasema "Anatosheka:" kule: "Laa" (Sio), huku: "Naam" (Ndio), na Hadithi ni ile ile na msemaji ni yule yule! Tazama pia katika uk. 109-110 uone upinzani alioutoa hapo halafu linganisha upinzani huo na upinzani alioutoa kabla ya hapo, utaona jinsi gani mwanamume alivyokuwa bingwa wa kubadilika! Na hili si jengine bali ni lile Waswahili wanalolisema: "Mfa maji hukamata maji." 134 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 37.

135- Hii ni hoja ya Abu Ammar, Nassir bin Mohd bin Rashid Al-mazrui, ambayo aliiongezea hapa. Nilisahau kuweka maelezo haya katika chapa ya kwanza. Na hapa nakamilisha wajibu wangu, kwa vile hoja hii si juhudi yangu, bali ni juhudi yake, nayo ni hoja sahihi, nzuri.

136- Tazama Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 17.

137- Tazama Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 152.

138 - Ibn 'Aqil Shar-hu Ibn 'Aqil j. 1, uk. 11.

139 - Ibn 'Aqil Shar-hu Ibn 'Aqil j. 1, uk. 11.

140 - Ibn 'Aqil Shar-hu Ibn 'Aqil j. 1, uk. 12.

141 - Ibn Hisham Qatru Al-Nada uk. 340.

142- Ibn 'Aqil Shar-hu Ibn 'Aqil j. 1, uk. 14.

143 - Ibn 'Aqil Shar-hu Ibn 'Aqil j. 1, uk. 14.

144 - Hadithi hio kaipokea Muslim "SAHIHU MUSLIM" Hadithi na. 2523, j. 4, uk. 421 katika "Sharhu Al-nnawawi." Al-tirmidhiy "AL-SUNAN" uk. 207, Hadithi na. 693. Abu Daud "AL-SUNAN" uk. 400, Hadithi na. 2329. Al-nnasai "AL-KUBRA" j. 3, uk. 97-98, Hadithi na. 2432. Al-bayhaqiy "AL-KUBRA" j. 6, uk. 294-295. Ibn Khuzaima "AL-SAHIH" j. 2, uk. 924, Hadithi na. 1916.

146 - Yaani Abu Daud, mpokezi wa Hadithi. Kwa hivyo, Abu Daud unasema kama tunavyosema sisi.

147 - Al-Adhim Abad A'wnu Al-Ma'abudi: Sharhu Sunani Abi Daud j. 6, uk. 454-455, katika sherehe ya Hadithi na. 2315.

148 - Yaani Al-Imamu Al-Nasai. Kwa hivyo, Al-Nasai na wengine pia wanawafikiana na sisi.

149- Maana ya kuwa andiko la ujumla ni la dhana na andiko maalum (specific au khaas) ni la uhakika, ni kuwa andiko la ujumla linakusanya vitu vyote vyenye kuhusiana na lafdhi ya andiko hilo, lakini hakuna uhakika kwamba kweli vyote vimeingia au vilivyoingia ni vingi tu, wakati katika andiko maalum (specific au khaas), tuna hakika kwamba kilichotajwa ndivyo kilivyo. Kufahamu hili vizuri, tazama mfano mtu anaposema Wazanzibari ni wakarimu. Andiko hili ni la ujumla linamuingiza kila anayeitwa Mzanzibari, lakini je kweli kila Mzanzibari ana sifa hiyo ya ukarimu? Ukitazama utaona si kweli kwamba Wazanzibari wote wako hivyo, labda hio ni sifa ya waliowengi tu. Lakini nikitumia lafdhi khaas (specific) nikasema Ali ni mkarimu, basi huwa ni kitu cha hakika kwa vile kinamuhusu mtu mmoja maalum. Kwa hivyo, andiko hili si la hakika. Lakini katika andiko maalum (specific au khaas) maneno huwa ni ya uhakika.

150 - Tazama Ibn Uthaimin "FATAWA ULAMAI AL-BALADI AL-HARAM" uk. 194-195.

151 - Al-salimiy "AL-JAWABAAT" j. 1, uk. 45.

152- Kama ilivyo katika "AL-NAYLU" cha Al-shaukaniy j. 4, uk. 192, katika maelezo ya Hadithi na. 1626.

153 - Abu Daud "AL-SUNAN" uk. 401 katika maelezo ya Hadithi na. 2338.

154 - Al-bayhaqiy "AL-KUBRA" j. 6, uk. 211, katika maelezo yake juu ya Hadithi na. 8069.

155- Ibn Majah "AL-SUNAN" uk. 278, katika maelezo yake juu ya Hadithi na. 1652.

156 - Al-tirmidhiy "AL-SUNAN" uk. 206, katika maelezo yake juu ya Hadithi na. 691.

157 - Al-nadhaam ni Ibrahim bin Sayyar, Sheikh wa madhehebu ya Mu'utazila.

158 - Ibn Al-arabiy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 120, katika tafsiri ya Aya inayosema: "Atayeushuhudia mwezi miongoni mwenu, basi na-aufunge."

159 - Kapwekeka maana yake kawa peke yake; na kupwekeka na Hadithi ni kuwa kaisimulia yeye tu: hakuna msimulizi mwengine aliyeisimulia. Lihifadhi neno hili kwa sababu limetumika katika sehemu nyengine nyingi za kitabu hiki. 160 - Al-shaukaniy "AL-NAYLU" j. 4, uk. 192.

161- Tazama "TAHDHIBU AL-TAHDHIB" j. 4, uk. 204, tarjama na. 405.

162 - Al-imamu Al-shaukaniy: "NAYLU AL-AWTAR" j. 4, uk. 193 katika maelezo ya Hadithi na. 1625-1626.

163 - Tazama Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 17.

164 - Katika uk. 17-18, Sheikh Bachoo anatoa hoja kwa Hadithi ya mabedui wawili na Hadithi ya Masahaba waliouona mwezi jana (yaani kwa mujibu wa siku waliokwenda kwa Mtume s.a.w.). Na jawabu yetu hapa ni hio hio kwamba watu hao wote walikuwa katika eneo la Madina. Ivo ni mtu gani katika zama za Mtume(s.a.w.w) atayetoka Sham au Oman au mji wowote ule wa mbali akafika kwa Mtume(s.a.w.w) kwa muda wa siku moja - usiku wa jana mpaka magharibi ya leo?! Kwa wakaazi wa Afrika ya Mashariki hili ni rahisi kuweza kulijua: waulizeni Wazanzibari waliokuja Oman zamani: walikuwa wakitoka Ruwi mpaka Niz-wa kwa muda gani? Amenisimulia mmoja wao kwamba walikuwa wakienda Niz-wa kwa punda na ngamia kwa muda wa wiki moja. Na hii kuna sehemu ambazo walikuwa wakipanda gari. Niz-wa kwa leo tunakwenda kwa gari kwa muda wa kama saa na nusu kutokea Ruwi. Ruwi na Niz-wa hapafiki k.m. 200. Ni masafa ya kama 180. Sasa wewe pima mwenyewe bedui huyo alikuwa wapi hata akaweza kufika kwa Mtume(s.a.w.w) - kwa ngamia au kwa punda - kwa muda wa siku moja au mbili au wiki, ikiwa watu hawa wamesafiri masafa ya k.m. mia na thamanini (180) kwa muda wa wiki?

165 - Kama ilivyo katika riwaya na. 8069 ya Al-bayhaqiy katika "AL-KUBRA" j. 6 uk. 211 na Al-hakim katika "AL-MUSTADRAK" j. 1, uk. 587 Hadithi na. 1546 na Abu Daud katika "AL-SUNAN" Hadithi na. 2338 na Al-daraqutniy katika "AL-SUNAN" j. 2, uk. 159 Hadithi na. 14.

166 - Kama ilivyo katika riwaya na. 8069 ya Al-bayhaqiy katika "AL-KUBRA" j. 6 uk. 211 na Al-hakim katika "AL-MUSTADRAK" j. 1, uk. 587 Hadithi na. 1546 na Abu Daud katika "AL-SUNAN" Hadithi na. 2338 na Al-daraqutniy katika "AL-SUNAN" j. 2, uk. 159 Hadithi na. 14.

167 - Al-Suyuti Tadribu Al-Rawi uk. 161.

168 - i. Ahkamul-Qur-aan Cha Al-Jaswas J. 1 uk 305. ii. Fiqhi-Sunnah Cha Sa'iyd Saabiq J. 1 uk 436.iii. Rawaaiul-Bayaan J. 1 uk 211. iv. Naylul-Awtaar J. 4 uk 195 v. Sharhu Subulu Sawiyyah Lifiqhi Sunanil - Marwiyyah vi. Fatawa Za BAKWATA uk 10 - 11 Mada 14/70

169 - Kanuni gani Yaa Nas!

170 - Tazama maudhui hii katika Dr. Al-Zuhaili Usulul Fiq-hi j. 1, uk 244-245. Al-Salimi Sharhu Tal'ati Al-Shams j. 1, uk. 105.

171- Kama ilivyo katika riwaya na. 8069 ya Al-bayhaqiy katika "AL-KUBRA" j. 6 uk. 211 na Al-hakim katika "AL-MUSTADRAK" j. 1, uk. 587 Hadithi na. 1546 na Abu Daud katika "AL-SUNAN" Hadithi na. 2338 na Al-daraqutniy katika "AL-SUNAN" j. 2, uk. 159 Hadithi na. 14.

172 - Ali Muhammad Al-Nadwi Al-Qawa'id Al-Fiqhiyya uk. 417. Muhammad Bakr Isma'il Al-Qawa'id Al-Fiqhiyya uk. 50.

173 - Lakini nyinyi Hadithi ya Ibn Abbaas na kuraib hamutaki kuiba hukumu hio, bali munaona ni kisa tu!!!

174 - Yaani Bismillahi zilio mwanzoni mwa sura: si Bismillahi ilio katikati ya Suratu Al-Naml.

175 - Ibn Hajar Al-Fat-Hu j. 5, uk. 2480, katika sherehe ya Hadithi na. 1907.

176- Al-San'ani Subulu Al-salam j. 1, uk. 415, katika maelezo ya Hadithi na. 610.

177 - Makusudio ya sababu isiovuuka mahala pake, ni sababu ambayo ndio iliosababisha kitu fulani kikapewa hukumu fulani, lakini sababu hio ikawa ipo katika kitu hicho tu: haipo katika kitu chengine. Sababu kama hii ni dhaifu, na kwa hivyo ikiwa kuna sababu nyengine ambayo ipo katika kitu hicho na pia ipo katika kitu au vitu vyengine - ambayo ndio huitwa kuwa ni sababu iliovuuka mahala pake - basi wanavyuoni huifanya sababu hio iliovuuka mahala pake kuwa ndio sababu ya hukumu. Si kwamba sababu isiovuuka mahala pake haifanywi kuwa ni sababu ya hukumu, "Laa" inafanywa kwa mujibu wa wanavyuoni wengi, lakini ikigongana na sababu inayovuuka mahala pake basi sababu hio inayovuuka mahala pake ndio ya kuzingatiwa. Na yote haya lau ingelikuwa neno "Sham" linafaa kuwa ni sababu, lakini hata kulifanya neno hilo kuwa ni sababu ya hukumu haiwezekani, kama ulivyoona humu katika maelezo yetu.

178 - Yaani Al-Imamu Al-Nasai. Kwa hivyo, Al-Nasai na wengine pia wanawafikiana na sisi.

179 - Au saba kwa mujibu wa Mahanafi.

180 - Rejea Ali Muhammad Al-Nadwi Al-Qawa'id Al-Fiqhiyya uk. 393. Muhammad Bakr Isma'il Al-Qawa'id Al-Fiqhiyya uk. 142.

181- Sehemu ya Aya isemayo: ilikuwa haimo kwa Kiarabu chake katika makala ya ndugu zetu. Hapa nimeiongeza kwani tafsiri yake kwa Kiswahili ilikuwemo.

182 - Tazama Juma Mazrui Ushahidi Uliowekwa Wazi Katika Suala La Miandamo Ya Mwezi uk 97 chapa ya pili, au uk. 85 chapa ya kwanza.

183 - Nassor Bachoo Ufafanuzi Wa Mgogoro Wa Kuandama Kwa Mwezi uk. 2.

184 - Tazama Al-qurtubiy: "BIDAYATU AL-MUJTAHID" j. 1, uk. 516.

185- Al-kaasaniy "BADAAIU AL-SANAI'I". J. 2, uk. 224-225

186- Al-imamu Abu Muslim "NITHARU AL-JAWHAR" J. 5, uk. 158.

187- Al-sayyid Saabiq "FIQ-HU AL-SUNNA" uk. 293

188 - Al-qurtubiy "BIDAYATU AL-MUJTAHID" j. 1, uk. 516

889 - Ibn Al-arabiy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 121.

190 - Al-qurtubiy "BIDAYATU AL-MUJTAHID" j. 1, uk. 516.

191 - Ramadhani ya mwakaa huu nilikusudia hasa kuwauliza wakazi wa nchi tafauti. Na jawabu ni kuwa: Watu wa jimbo la Kerla India wamefunga sawa na Oman, na Waislamu wa nchi hio wanafata madhehebu ya Shafi. Watu wa Pakistan, Bangladesh na India wamefunga siku ya pili baada ya Oman (ambayo ni siku ya tatu baada ya Saudia). Pakistan na Bangladesh asilimia kubwa ya wakazi wake ni Mahanafi.

192 - Tazama kanuni hii katika Dr. Wahbat Al-zuhailiy Usulu Al-Fiq-Hi j. 1, uk. 677, babu Qiyasi Al-Lugha.

193 - Tazama kanuni hii katika Dr. Wahbat Al-zuhailiy Usulu Al-Fiq-Hi j. 1, uk. 677, babu Qiyasi Al-Lugha.

194 - Tazama kanuni hii katika Dr. Wahbat Al-zuhailiy Usulu Al-Fiq-Hi j. 1, uk. 260..

195- Al-Jitali Al-Qawa'id j. 2, uk. 165.

196 - Al-Jitali Al-Qawa'id j. 2, uk. 56.

197 - Maelezo yake katika kitabu Al-Qawa'id cha Al-Jitali j. 2, uk. 70.

198 - Al-Khalili Al-Fatawa Al-Kitabu Al-Khamis uk. 357.

199- Kwa sasa siwezi kukunakilieni mifano mingi kwani ninapoisoma katika vitabu sidhanii kwamba kuna mtu ataihitaji, lakini hii mifano miwili itatosha kukupeni picha halisi, na nitapoitoa jawabu hii kama ni kitabu nitakunakilieni mifano ya ziada in shaa Allah.

200- Al-qurtubiy "BIDAYATU AL-MUJTAHID" j. 1, uk. 516.

201- Wafasina bandia na maulamaa bandia wamejaa tele leo Zanzibar; ndio maana tukawa na zogo hili. Wallahu Al-Musta'an!

202- Abu Hayyan Al-Bahr j. 2, uk. 47.

203 - Abu Hayyan Al-Bahr j. 2, uk. 47.

204 - Mahmud Safi I'irabu Al-Qur-an j. 2, uk. 371.

205- Tutaeleza kwa urefu katika kitabu inshaa Allah.

206 - Je kanuni hii nyinyi memeifata? Hao muliotolea ushidi katika kitabu chenu wote ni wanavyuoni wa kweli? Mwanachuoni wa kweli si Duktur, bali ni yule aliyefikia daraja ya ijtihad, na nyie munanukuu mpaka kutoka kwa watu wa kawaida! 207 - Abu Al-suud katika tafsiri yake j. 1, uk. 236.

208- Ibn Al-arabiy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 118.

209- Ibn Baraka "KITABU AL-JAMI'I" j. 2, uk. 5.

210- Abu Zahra "USULU AL-FIQ-HI". Kwa sasa ukurasa haunihudhurii kwa vile kitabu hiki sinacho mikononi

211 - Ibn Hazm "AL-MUHALLAH" j. 6, uk. 166.

212 - Al-jassas Al-raziy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 278.

213- Al-jassas Al-raziy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 279.

214 - Al-jassas Al-raziy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 278.

215 - Maana ya maneno haya ya Abu Muslim aliposema: "Na akauita Allah mwanzo wa mwezi kwa jina la mwezi mzima" ni kuwa neno lililotumika katika Aya ni neno Shahr nalo lina maana ya mwezi kwa maana ya kipindi cha siku 29-30 (month), wakati makusudio ya Aya ni atayeushuhudia kwa maana ya kuuona, na unaoonekana ni mwezi ule wa sayari ulioko angani ambao kwa Kiarabu huitwa Qamar au huitwa Hilal unapokuwa muandamo, kwa maana hii itakuwa neno Shahr lililomo katika Aya hio, limetumika kwa maana ya Hilal. Au limetumika kwa maana yake hio hio ya Shahr lakini "Pakadiriwe mudhafu (kilichotegemezwa ambacho kimeondoshwa nacho ni Hilal). Na maana itakuwa "Hilalu Al-shahri" Mwezi muandamo wa mwezi (wa Ramadhani). Hii ndio maana iliomo katika maneno ya Sh. Abu Muslim.

216 - Abu Muslim "NITHARU AL-JAWHAR" j. 5, uk. 13.

217- Abu Muslim "NITHARU AL-JAWHAR" j. 5uk. 25.

218 - Sh. Al-khaliliy "AL-FATAWA" kitabu 1, uk. 309.

219- Prof Moh'd Bakr Ismail "AL-QAWAIDU AL-FIQ-HIYYA" uk 401.

220- Ibn Uthaimin "FATAWA ULAMAI AL-BALADI AL-HARAM" uk. 194.

221 - Al-sayyid Ahmad Al-hashimiy katika "JAWAHIRU AL-BALAGHA" uk. 389

222- Dr. Wahbat Al-zuhailiy "USULU AL-FIQ-HI" j. 1, uk. 43, au uk. 51 kwa chapa nyengine.

223 - Dr. Wahbat Al-zuhailiy "USULU AL-FIQ-HI" j. 1, uk. 43, au uk. 51 kwa chapa nyengine.

224 - Ibn Hajar Al-Fat-Hu j. 5, uk. 2480, katika sherehe ya Hadithi na. 1907.

225 - Al-San'ani Subulu Al-salam j. 1, uk. 415, katika maelezo ya Hadithi na. 610.

226 - Muqabala maana yake ni kusemwa kitu fulani katika sentensi moja kisha katika sentensi ya pili kukasemwa maneno yaliokinyume na yale yalio katika sentensi ya kwanza. Sasa ikiwa maana iliomo katika maneno ya kwanza imefichika, basi tunajiongozea kwa maneno ya pili kuufahamu muradi wa maneno ya kwanza. Tumetoa baadhi ya mifano miwili mitatu katika kitabu chetu: "HOJA ZENYE NGUVU" na si vibaya hapa tukainukuu tena mifano miwili, kwani huenda ikawa mtu kasoma kitabu hiki bila ya kusoma kile. Mfano wa muqabala ni kama Aya inayosema: "Anawahalalishia mambo mazuri na anawaharamishia mambo mabaya." Sura ya 7 aya 157. Na Aya inayosema: "Na wanatarajia rehema yake na wanaogopa adhabu yake." Sura ya 17 aya ya 57. Ukitazama hapa utaona kwamba kila sentensi ya pili ni kinyume na sentensi ya kwanza. Na huu ndio watu wa lugha ya Kiarabu wanaouita Muqabala, yaani opposite au sentensi ilio kinyume ya sentensi nyengine. Sasa kuna wakati inakuwa ni vigumu kuweza kujua maana iliokusudiwa katika sentensi ya kwanza lakini utapoitazama sentensi ya pili katika Muqabala wake, ndio inayokujuilisha muradi wa sentensi ya kwanza.

227- Al-jassas Al-raziy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 278.

228 - Al-jassas Al-raziy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 279.

229 - Al-jassas Al-raziy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 278.

230- Al-jassas Al-raziy "AHKAMU AL-QUR-AN" j. 1, uk. 279.

231- Hii si kanuni muttarid. Neno linaweza kuwa tika sentensi na pia likawa na maana zaidi ya moja ikiwa maana hizo hazigongani. Neno "Sala" katika Aya: Hakika ya Allah na Malaika zake wanamsali Mtume?, lina maana mbili. Sala ya Allah ni maghfira nay a Malaika ni dua.

232 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 37.

133 - Hii ni hoja ya Abu Ammar, Nassir bin Mohd bin Rashid Al-mazrui, ambayo aliiongezea hapa. Nilisahau kuweka maelezo haya katika chapa ya kwanza. Na hapa nakamilisha wajibu wangu, kwa vile hoja hii si juhudi yangu, bali ni juhudi yake, nayo ni hoja sahihi, nzuri.

234 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 37.

235 - Maana ya kuwa andiko la ujumla ni la dhana na andiko maalum (specific au khaas) ni la uhakika, ni kuwa andiko la ujumla linakusanya vitu vyote vyenye kuhusiana na lafdhi ya andiko hilo, lakini hakuna uhakika kwamba kweli vyote vimeingia au vilivyoingia ni vingi tu, wakati katika andiko maalum (specific au khaas), tuna hakika kwamba kilichotajwa ndivyo kilivyo. Kufahamu hili vizuri, tazama mfano mtu anaposema Wazanzibari ni wakarimu. Andiko hili ni la ujumla linamuingiza kila anayeitwa Mzanzibari, lakini je kweli kila Mzanzibari ana sifa hiyo ya ukarimu? Ukitazama utaona si kweli kwamba Wazanzibari wote wako hivyo, labda hio ni sifa ya waliowengi tu. Lakini nikitumia lafdhi khaas (specific) nikasema Ali ni mkarimu, basi huwa ni kitu cha hakika kwa vile kinamuhusu mtu mmoja maalum. Kwa hivyo, andiko hili si la hakika. Lakini katika andiko maalum (specific au khaas) maneno huwa ni ya uhakika.

236- Tazama Ibn Uthaimin "FATAWA ULAMAI AL-BALADI AL-HARAM" uk. 194-195.

237- Al-salimiy "AL-JAWABAAT" j. 1, uk. 45.

238- Nassor Bachoo: "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 23.

239 - Kainukuu kauli hii Abu Muslim katika "NITHARU AL-JAWHAR" j. 5, uk. 159. Pia kauli hii utaipata katika Fatawa za Al-imamu Al-salimiy j. 2, uk. 114.

240 - Dr. Al-Zuhaili Usulu Al-Fiq-hi j. 1, uk. 521. Al-Qannubi Al-Tufan j. 3, sehemu ya kwanza uk. 23.

241 - Al-Qannubi Al-Tufan j. 3, sehemu ya kwanza uk. 23.

242 - Haya ndio maneno sahihi: sio mudai kwamba wamekubaliana juu ya ijma'i hii.

243 - Ikhtilafu katika Umma ipo, lakini hii ndio kauli yenye nguvu.

244 - Dr. Al-Zuhaili Usulul Fiq-hi j. 1, uk. 526.

245 - Dr. Al-Zuhaili Usulul Fiq-hi j. 1, uk. 527.

246- Al-imamu Al-salimi Sharhu Tal-Ati Al-Shams j. 2, uk. 135.

247- Suala: Je mwezi ukiandama Tanzania au nchi nyengine yoyote ile mwanzo kabla ya Saudia hoja yako kwamba: "Tarehe 9 Dhul-Hijjah huko mji wa Makka; sio tarehe tisa ya nchi nyengine yoyote ile" itakuwa na maana gani? Kumbuka kwamba Saudia haifati muandamo wa nchi nyengine. Kwa kufahamu zaidi, tazama maelezo ya chini (foot note) na. 223. 248- Tazama Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 113-114. 249 - Katika chapa ya kwanza nilisema hivi: "Tukatoa mfano wa kutenguka jua kuwa ni sababu ya kuingia wakati wa kusali." Kilichosahihi ni kusema: "Tukatoa mfano wa kutenguka jua kuwa ni sababu ya kuwajibikiwa na Sala."

250- Tumetaja walioipokea Hadithi hii katika uk. 54-56.

251 - Sura ya 2 Aya ya 200. Na mfano wake ni Hadithi inayosema: "Muhajir (akitaka kukaa Maka basi) akae siku tatu (tu) baada ya (kumaliza) nusuki (ibada) zake (za hija)." 252 - Katika chapa ya kwanza nimeandika "A'YNU" badala ya "A'WNU" basi sahihisha hapa; sahihi ni "A'WNU" si "A'YNU."

253 - Tazama "A'WNU AL-MA'ABUDI: SHARHU SUNANI ABI DAUD" j. 6, uk. 463.

254- Tazama Ibn Uthaimin "FATAWA ULAMAI AL-BALADI AL-HARAM" uk. 194-195.

255- Tatizo pia litabakia kwa wale ambao wakati kwao umetangulia kabla ya Saudia. Kwa mfano Arafa ni J/ane: ambapo alfajiri ya J/ane ikichomoza Saudia wao kwao jua linazama na kwa hivyo ni J/atano. Ikiwa watafunga mchana wa J/ane, basi watafunga kabla ya Arafa. Ikiingia Arafa Makka kwao ni usiku wa J/atano, na hakuna funga ya usiku. Kwa hali hii, ni wazi kwamba funga - yoyote iwayo - ni lazima ifungamanishwe na muandamo wa mwezi. Na kwa kufanya hivyo, Waislamu wote wa dunia wataweza kufunga Arafa mwezi tisa na kula Siku Kuu mwezi kumi.

256- Baada ya kuwa nimeimaliza kazi hii, alinisimulia mmoja wa Sahibu zangu kuhusu nukta alioitoa Sheikh mmoja wa Dar-es-salam katika kuwajibu wale wenye msimamo kwamba tufunge kwa muandamo mmoja. Sheikh aliwaambia watu hao kwamba tunajua kwamba Saudia haifuati muandamo wa nchi nyengine. Sasa suala: je ikiwa mwezi utaandama hapa kwetu kwanza je nyinyi mutafata wapi? Jawabu: Tutafata hapa hapa. Suala. Je ikiwa muko Makka na mwezi umeonekana huku kwanza mutasimama Arafa? Jawabu: Ndio, kwani hakuna Arafa ya mtu peke yake. Suala: Kwani kuna Arafa ya mwezi kumi? Arafa si mwezi tisa? Huoni kwamba ikiwa mwezi umeandama hapa kwanza na wao hawakufata muandamo wa hapa, itakuwa mwezi tisa hapa kule ni nane na tisa kule hapa ni kumi, kwa mujibu wa hisabu yao, wakati nyinyi mwezi munaouzingatia ni ule unaoandama kwanza? Jawabu: Kimya? Kwa hakika nukta hii fupi alioitoa Sheikh huyu inatosha kubainisha ukweli uko wapi.

257 - Kwa hivyo, ni wazi kwamba kisimamo cha Arafa si sababu ya kufunga siku hio bali sababu ni kuandama kwa mwezi wa mfunguo tatu ambao unatangulia kisha ndio zikaja ibada za hija kikiwemo kisimamo cha Arafa. Ama kisimamo hicho ni munasaba tu kama tulivyotangulia kubainisha.

258- Sura 9 Aya 25.

259- Mji uko karibu na Makka. Tazama Yaqut Al-rumi "MU'UJAMU AL-BULDAN" j. 1, uk. 190.

260- Tumetaja walioipokea Hadithi hii katika uk. 54-56.

261- Sura ya 2 Aya ya 200. Na mfano wake ni Hadithi inayosema: "Muhajir (akitaka kukaa Maka basi) akae siku tatu (tu) baada ya (kumaliza) nusuki (ibada) zake (za hija)."

262 - Katika chapa ya kwanza nimeandika "A'YNU" badala ya "A'WNU" basi sahihisha hapa; sahihi ni "A'WNU" si "A'YNU."

263- Tazama "A'WNU AL-MA'ABUDI: SHARHU SUNANI ABI DAUD" j. 6, uk. 463.

264 - Sura 9 Aya 25.

265 - Mji uko karibu na Makka. Tazama Yaqut Al-rumi "MU'UJAMU AL-BULDAN" j. 1, uk. 190.

266 - Anapodai au anaponukuu?!

267 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 37.

268 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 120-124.

269 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 123.

270- Al-imamu Abu Muslim: "NITHARU AL-JAWHAR" j. 5, uk. 157. Rudia pia uk. 194-195 wa kitabu "FATAWA ULAMMAI AL-BALADI AL-HARAM" cha wanachuoni wa Saudia uone walivyoeleza uhusiano wa matalai ya mwezi na matalai ya jua.

271 - Al-Imamu Badru Al-Din Al-Khalili Al-Fawa: Al-Sala, Al-Zaka, Al-Saum, Al-Haj uk. 314.

272- Al-nnawawi "SHARHU AL-MUHADHAB" j. 6, uk. 183.

273 - Nassor Bachoo "UFAFANUZI WA MGOGORO WA KUANDAMA KWA MWEZI" uk. 117-118.

274 - Ibn Hajar ana maelezo mazuri kuhusu Hadithi ya kufungwa mashetani. Tazama "AL-FAT-HU" katika sherehe ya Hadithi na. 1899.

275 - Na pia kwa kufata msingi wa kukamatana na hali ya mwanzo.

276 - Lakini pamoja na hayo tunasema kwamba ilikuwa ni juu ya Sheikh Bachoo kutotoa kabisa hoja hii, kwani Ramadhani inaingia pale tu jua linapotua siku ya mwezi 29 au 30 Shaabani. Sasa kama ni hivyo, vipi anahisi au nini rai yake pale jua linapotua Makka na Madina na ikawa Ramadhani imeingia na mashetani kufungwa, atawapa hukumu gani mashetani wa Marekani ambako ndio kwanza asubuhi au mchana - jua halijatua na Ramadhani haijaingia - je wao wataendelea kuvunja jungu? Au watakimbilia Saudia wakafungwe pamoja na wenzao?

277- Lakini pamoja na hayo tunasema kwamba ilikuwa ni juu ya Sheikh Bachoo kutotoa kabisa hoja hii, kwani Ramadhani inaingia pale tu jua linapotua siku ya mwezi 29 au 30 Shaabani. Sasa kama ni hivyo, vipi anahisi au nini rai yake pale jua linapotua Makka na Madina na ikawa Ramadhani imeingia na mashetani kufungwa, atawapa hukumu gani mashetani wa Marekani ambako ndio kwanza asubuhi au mchana - jua halijatua na Ramadhani haijaingia - je wao wataendelea kuvunja jungu? Au watakimbilia Saudia wakafungwe pamoja na wenzao?

278- Maana ya kuwa andiko la ujumla ni la dhana na andiko maalum (specific au khaas) ni la uhakika, ni kuwa andiko la ujumla linakusanya vitu vyote vyenye kuhusiana na lafdhi ya andiko hilo, lakini hakuna uhakika kwamba kweli vyote vimeingia au vilivyoingia ni vingi tu, wakati katika andiko maalum (specific au khaas), tuna hakika kwamba kilichotajwa ndivyo kilivyo. Kufahamu hili vizuri, tazama mfano mtu anaposema Wazanzibari ni wakarimu. Andiko hili ni la ujumla linamuingiza kila anayeitwa Mzanzibari, lakini je kweli kila Mzanzibari ana sifa hiyo ya ukarimu? Ukitazama utaona si kweli kwamba Wazanzibari wote wako hivyo, labda hio ni sifa ya waliowengi tu. Lakini nikitumia lafdhi khaas (specific) nikasema Ali ni mkarimu, basi huwa ni kitu cha hakika kwa vile kinamuhusu mtu mmoja maalum. Kwa hivyo, andiko hili si la hakika. Lakini katika andiko maalum (specific au khaas) maneno huwa ni ya uhakika.

279- Tazama Ibn Uthaimin "FATAWA ULAMAI AL-BALADI AL-HARAM" uk. 194-195.

280 - Al-salimiy "AL-JAWABAAT" j. 1, uk. 45.

281- Hadithi hio kaipokea Muslim "SAHIHU MUSLIM" Hadithi na. 2523, j. 4, uk. 421 katika "Sharhu Al-nnawawi." Al-tirmidhiy "AL-SUNAN" uk. 207, Hadithi na. 693. Abu Daud "AL-SUNAN" uk. 400, Hadithi na. 2329. Al-nnasai "AL-KUBRA" j. 3, uk. 97-98, Hadithi na. 2432. Al-bayhaqiy "AL-KUBRA" j. 6, uk. 294-295. Ibn Khuzaima "AL-SAHIH" j. 2, uk. 924, Hadithi na. 1916.