M_BORA WA WAUMBAJI

BISMILAHI RAHMANI RAHIYMI 

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU

Mwenyezi Mungu ni Mbora wa waumbaji.

Aya:

فَتَبَارَكَ اللهُ اَحْسَنُ الْخَالِقِينَ[1]

Tarjuma:

Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.

 Hijabu

Aya:

 وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلـٰي جُيُوبِهِنَّ[2]

Tarjuma:

Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao.

  Kujisifu na (kujitakasa) nafsi zenu.

Aya:

 فَلاَ تُزَكُّوا اَنفُسَكُمْ[3]

Tarjuma:

Basi msijisifu (msijitakase) nafsi zenu kuwa ni safi.

Kusoma Qur-ani

Aya:

فَاقْرَؤُوا مَا تَيَسَّرَ مِنَ الْقُرْآنِ[4]

Tarjuma:

Basi someni kilicho chepesi katika Qur'ani.

 Kuwashukuru wazazi (baba na mama).

Aya:

اَنِ اشْكُرْ لِى وَلِوَالِدَيْكَ[5]

Tarjuma:

Nishukuru Mimi na wazazi wako.

 Kupatanishana au (kujenga suluhu).

Aya:

فَاَصْلِحُوا بَيْنَ اَخَوَيْكُمْ[6]

Tarjuma:

Basi patanisheni baina ya ndugu zenu.

Maji

Aya:

وَجَعَلْنَا مِنَ الْمَاء كُلَّ شَيْءٍ حَيٍّ[7]

Tarjuma:

Na tukajaalia kwa maji kila kilicho hai? .

 Taquwa au ( kumcha Mwenyeenzi Mungu).

Aya:

إِنَّ اَكْرَمَكُمْ عِندَ اللهِ اَتْقَاكُم[8]

Tarjuma:

Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi.

Msiitane kwa majina mabaya.

Aya:

وَلاَ تَنَابَزُوا بِالاَلْقَابِ[9]

Tarjuma:

Wala msiitane kwa majina ya kejeli.

[1] Surat-Mu-uminun Aya ya 14

[2] Surat-Nuur Aya ya 31

[3] Surat-Najmi Aya ya 32

[4] Surat-Muzamil aya ya 20

[5] Surat-Luqmani Aya ya 14

[6] Surat- Hujurat Aya ya 10

[7] Surat Anbiyaa aya ya 30

[8] Surat Hujurati Aya ya 13

[9] Surat Hujurati Aya ya 11

MWISHO