Site ya Al-Imaamaini Al-Hassanaini (A.S) ya usambazaji wa utamaduni wa Kiislamu na mafunzo ya Kidini

Tarehe

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 6

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 6

BAADA YA KARAMU YA HARUSI KUFANYIKA SIKU TATU ILIYO ANDALIWA NA JABALI LA IMAN ABU TWALIB AS KWA AJILI YA MTUKUFU MTUME MUHAMMAD (S.A.W.W) BIBI KHADIJA NAYE AANDAA TAFRIJA KUBWA YA CHAKULA SIKU TATU MUTAWALIA NA KUWEKA HISTORIA KATIKA MAKKAH TUKUFU Ilifuata zamu ya Khadija Kuonyesha ukarimu na wema wake. Ukarimu na wema yalikuwa mazoea yake makubwa. Na hafla gani ambayo ingefaa zaidi au kupendeza kama si kwenye Sherehe ya harusi yake kutosheleza hulka yake? Kwa hiyo, Khadija, alimwagiza mkuu wake wa Itifaki kutayarisha mipango kwa kuandaa Karamu/tafrija kubwa kabisa ya chakula na kuweka historia katika Makkah. Hiyo ilikuwa Karamu ya kukumbukwa kweli. Hata ombaomba wa Makkah na makabila ya watu wanaohama hapa na pale na wanawake, walikuwa kwenye kundi la waalikwa. Watu walikula vyakula ambavyo kamwe hawajapata kuviona. Wale Waarabu wa jangwani ambao kamwe walikuwa hawajawahi kuonja kitu chochote isipokuwa maji ya chumvichumvi au yanayonuka katika maisha yao siku hiyo walikunywa maji ya waridi wakiwa wageni wa Khadija.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 5

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 5 MTUKUFU MTUME MUHAMMAD SAWW BAADA YA KUFUNGA NDOA NA BAADA YA KARAMU YA HARUSI Mmojawapo wa watumishi wa kike aliketi kwenye kibanda na Bibi harusi. Kwenye kichwa chake, alivalia tiara la maua na nywele zake zilisokotwa kwa utepe wa buluu na ncha zenye lulu za kifahari. Alivalia bangili zenye nakshi ya vito vigumu na zenye kung'ara, na alishika kipepeo kilicho pambwa na vito. Kikundi cha watumwa wa Kinubi walibeba miange, walitembea mbele ya Ngamia jike kulia na kushoto. Bwana harusi naye pia alipanda farasi wake, na yeye, na ami zake, vijana wa Bani Hashim na wageni wao, walirudi nyumbani kwa Abu Twalib katika hali na Mavazi yale yale waliyoenda nayo mapema siku ile nyumbani kwa Bibi harusi.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 4

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 4 NDOA YA MTUKUFU MTUME MUHAMMAD SAWW YAFUNGWA , NA ABU TWALIB AS ASOMA KHOTUBA YA NDOA BAINA YA MTUKUFU MTUME MUHAMMAD SAWW NA MTUKUFU KHADIJA BINT KHUWAILID AS, 10 RABI'UL AWWAL MWAKA WA 25 WA NDOVU Abu Twalib mlezi wa Bwana harusi alisimama na kusoma hotuba ya ndoa ya Muhammad na Khadija, na hotuba yake au waadhi wake unathibitisha bila shaka yoyote kwamba Abu Twalib alikuwa Muislam Muumini muabudu Mungu mmoja. Alianza hotuba yake katika mfumo wa "Kiislamu" kwa kutoa sifa na shukrani kwa Mwenyezi Mungu, alisema: "Utukufu na sifa zote ni zake Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na dunia, na shukrani zote ni zake kwa rehema zake zote, riziki na huruma. Ametuleta sisi hapa duniani kutokana na vizazi vya Ibrahim na Ismail. Alitufanya sisi waangalizi wa Msikiti  na kuwa viongozi wa Nyumba yake, Al Ka'aba, ambayo ni kimbilio la viumbe wake wote. Baada ya utangulizi huu Abu Twalib aliendelea: " Mpwa wangu, Muhammad bin Abdillah Bin Abdu l Mutwalibi, ni mtu mzuri kuliko wote katika jamii ya binadamu kiakili, hekima, uzao ulio safi, utakakatifu wa maisha yake mwenyewe, na kwa heshima ya familia. Anazo dalili zote za mtu ambaye hatimaye atakuwa mtu mkubwa. Anamuoa Khadija bint Khuwaylid kwa mahari ya vipande 400 vya dhahabu. Natangaza kwamba Muhammad na Khadija sasa ni mume na mke. Mwenyezi Mungu na awabariki wote, na awe Mlinzi wao."

Ufafanuzi

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 3

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 3 MWAKA WA THELATHINI WA TEMBO ALIZALIWA MSAIDIZI MKUU, MAKAMU NA KAMANDA MKUU WA JESHI LA UISLAMU, ALLY BIN ABI TWALIB AS Ally alizaliwa tarehe 13 Rajab ya mwaka wa Tembo sawa na tarehe 25.05.600 AD. Binamu yake, Muhammad, alikuwa na miaka thelathini wakati huo. Wazazi wa Ally walikuwa ni Abu Twalib Bin Abdu l Mutwalibi, na Fatimah, bint Asadi, wote wa ukoo wa Banu Hashim.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 2

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 2 KUZALIWA KWA UISLAMU UPYA CHINI YA UONGOZI WA NABII WA KWANZA KUUMBWA NA NABII WA MWISHO KUTUMWA MTUKUFU MTUME MUHAMMAD SAWW ATANGAZA UJUMBE WAKE KWA WANADAMU Wakati Muhammad saww alipokuwa na umri wa miaka 40, aliamriwa na Mwenyezi Mungu Mtukufu kupitia Malaika wake Jibril as, kutangaza Upweke wake Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa wanadamu na hasa kwa waabudu masanamu na washirikina wa dunia nzima, na kutoa ujumbe wa amani kwa wanadamu waliokaa kivita.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 1

HISTORIYA YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) 1 WATU WA KWANZA KUMKUBALI MTUKUFU MTUME 1- KHADIJA BINT KHUWAILID (A.S).  Baada ya Bibi Khadija Bint Khuwailid kumtuliza, kumliwaza na kumthibitishia kushinda vikwazo vyote baada ya kipindi kifupi, Jibril as alitokea tena mbele ya Mtukufu Mtume Muhammad saww wakati alikuwa ndani ya pango la Hira, na akawasilisha kwake Wahyi wa pili: يا أيها المدثر. قم فأنذر. وربك فكبر . "Ewe uliyejifunika (shuka). Simama na uonye. Na Mola wako mtukuze. 74:1-3

Ufafanuzi

KIFO CHA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W)

KIFO CHA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W) MTUKUFU MTUME MUHAMMAD (SAWW), AFARIKI DUNIA. 28/swafar 11 Hijria 08/06/632 AD Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema mwenye kurehem. Shukran zote zinamustahiki Mwenyezi Mungu Mtukufu ambaye katujaalia kuwa katika ummah wa Muhammad saww Sayyid (Bwana) wa Manabii. Na aliye tujaalia kushikamana na utawala wa Sayyid (Bwana) wa mawasii Ally bin Abi Twalib as Na ubora wa rehema na amani zimshukie Muhammad saww na kizazi chake kitukufu ambacho kimelindwa (kisifanye) uchafu (makosa) na kutoharishwa moja kwa moja. Na rehema na amani ziwashukie Shi'ah (wafuasi) wao ambao wamesifiwa ndani ya Quran tukufu yenye hekima.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HASSAN (A.S)

HISTORIYA YA IMAMU HASSAN (A.S) HISTORIYA YA IMAM HASSAN (A.S) IMAMU HASSANI BIN ALLY BIN ABI TWALIB AWAPA HABARI WAFUASI WA MUAWIYYAH KUWA MUAWIYYAH ALILAANIWA NA MTUKUFU MTUME SAWW SEHEMU SABA BAADA YA MAPATANO (SULUHU KATI IMAMU HASSANI AS NA MUAWIYYAH L.A) Baada ya mapatano haya (Suluhu kati Imamu Hassan a.s na Muawiyyah l.a) kufikiwa, majeshi yalirudi nyumbani. Ufalme wa Muawiyyah l.a ukadumishwa na zaidi ya kuwa na Shamu tu, Muawiyyah alipata Misiri, Iraq, Hijazi (Saudi Arabia ya leo), Yemen, na Iran pia. Baada ya mapatano haya Imamu Hassan a.s alikuwa akisikia maneno ya matusi kutoka vinywani mwa watu wake wale waliokuwa wakimwita, hadi jana yake tu, "Amir wa wenye kuamini" lakini sasa walikuwa wakimwita "Mwenye kuifedhehesha dini". Lakini Mfalme wa uvumilivu Imamu Hassan a.s alinyamaza kimya.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 18

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 18 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 17

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 17 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 16

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 16 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 15

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 15 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 14

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 14 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 13

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 13 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 12

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 12 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 11

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 11 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 10

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 10 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya kumi Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 9

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 9 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya tisa Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 8

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 8 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya nane Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 7

HISTORIYA YA IMAMU HUSSEIN (A.S) 7 IMAMU HUSSEIN A.S  Sehemu ya saba Jina: Hussein a.s Jina la heshima: Sayyidush shuhada. Jina la Utoto (kunia): Aba Abdillah. Jina la baba yake: Haidar Ally a.s Jina la mama yake: Bi Fatimah Zahara a.s Tarehe ya kuzaliwa: Tarehe 3 tatu Shaban mwaka wa nne 4 hijiria. Mji alipozaliwa: Mji Mtukufu Madina Munawarah. Muda aliotumika katika uimamu: Miaka kumi na moja 11. Tarehe ya kuuawa shahidi: Siku ya kumi 10 Ashura Muharram mwaka 61 sitini na moja hijiria. Aliyemuua: Yazeed bin Muawiyyah (l.a) mjukuu wa mla maini (l.a) Mji alioifia na kuzikwa :. Mji Mtukufu Karbala Iraq Umri wake: Hamsini na saba 57.

Ufafanuzi

Toa maoni yako

Maoni ya watumiaji

Hakuna maoni
*
*

Site ya Al-Imaamaini Al-Hassanaini (A.S) ya usambazaji wa utamaduni wa Kiislamu na mafunzo ya Kidini