Site ya Al-Imaamaini Al-Hassanaini (A.S) ya usambazaji wa utamaduni wa Kiislamu na mafunzo ya Kidini

Kusoma Qurani

KUDHIHIRI KWA IMAM MAHDI (AS)

KUDHIHIRI KWA IMAM MAHDI (AS)

SABABU ZA KUDHIHIRI IMAM MAHDI (A.j) Kudhihiri kwa Imam kuna sababu na alama maalum na sababu hizo pamoja na alama zinaeleweka kuwa ndio matayarisho ya kuja kwake, tofauti ya vitu hivi viwili (alama na matayarisho) ni kwamba matayarisho yana athari muhimu katika kudhuhuru kwa Imam kiasi kwamba yakikamilika matayarisho hayo basi kudhihiri kwa Imam ni lazima kutokee. nizipi alama hizo, ungana nami mpaka mwisho wa makala hii ili kuzijua sababu hizo.

Ufafanuzi

IBADA NA USHUPAVU

IBADA NA USHUPAVU IBADA NA USHUPAVU SIFA YA PILI NI IBADA NA USHUPAVU Wafuasi wa Imam Mahdi wanachukuwa kigezo kwa Imam wao katika kufanya ibada zao, usiku na mchana huumalizia kwa kumtaja Mola wao. Imam Safiq (a.s) akiwazungumzia watu hao anasema hivi:- "Usiku mpaka asubuhi huwa wanamuabudu Mola wao na mchana huumalizia kwa kufunga[1]"

Ufafanuzi

FUNGAMANO NA VIONGOZI WAOVU

FUNGAMANO NA VIONGOZI WAOVU FUNGAMANO NA VIONGOZI WAOVU Duniani kuna viongozi waovu walio na nafasi kubwa katika jamii, na baadhi ya watu huwa tayari kuwafuata viongozi hao hali ya kuwa wanajua ya kwamba viongozi hao ni waovu na waliopotoka, lakini kwa sababu wanatafuta manufaa na mafanikio ya kidunia basi huwa pamoja na viongozi hao na kushirikiana nao katika uovu wao.

Ufafanuzi

MIPAKA KATIKA UHAKIKI WA DINI

MIPAKA KATIKA UHAKIKI WA DINI MIPAKA KATIKA UHAKIKI WA DINI Vitengo vya uhakiki wa dini vinavyowadhamini na kuwaletea faida wahakiki wa dini ni vile vitengo ambavyo vinabainisha na kuelezea mipaka yote ya dini katika Nyanja mbali mbali, kifikra na kimatendo. ama ni kwa nini vitengo hivyo vibainishe mipaka, kuna umuhimu gani wa kufanya hivyo. kuwa nami katika makala hi mpaka mwisho ilikujua umuhimu huo.

Ufafanuzi

Toa maoni yako

Maoni ya watumiaji

Hakuna maoni
*
*

Site ya Al-Imaamaini Al-Hassanaini (A.S) ya usambazaji wa utamaduni wa Kiislamu na mafunzo ya Kidini